Nexltshahda
JF-Expert Member
- Jun 1, 2026
- 343
- 676
Mim nimelelewa na single mother tangu nikiwa na umri wa miaka miwili, na nimemuona father kwenye picha tu.
Alifarik 2010 lakin hata kweny msiba wake sikuenda kwa sababu sijui kwao, hata mama hakwenda, nimekua nikiamini kwamba mama ndie kapambana mpaka nimefikia umri wa kujitegemea kwani hata father sikuwahi kumuona
Ila kuna siku nilipewa simu na mama eti ongea na baba ako miaka ya 2008.
Mim binafsi nawapenda masingo maza popote mlipo msiguswe!
Alifarik 2010 lakin hata kweny msiba wake sikuenda kwa sababu sijui kwao, hata mama hakwenda, nimekua nikiamini kwamba mama ndie kapambana mpaka nimefikia umri wa kujitegemea kwani hata father sikuwahi kumuona
Ila kuna siku nilipewa simu na mama eti ongea na baba ako miaka ya 2008.
Mim binafsi nawapenda masingo maza popote mlipo msiguswe!