zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wewe kweli unaishi Tanzania?
Ulitaka niishi wapi?
Wewe kweli unaishi Tanzania?
ni sheria ipi unayoifahamu inaruhusu kupiga, kujeruhi na kuua raia under whatever circumstance??siku zote nakukumbusha subiri yakupate wewe au ndugu yako auawe then you will regain your sense and think twice when it come to the question of tanzanian police!!
Hao wananchi walipigwa tu bila sababu za msingi? Kama walivamia eneo la mgodi, sidhani kama kulikuwa na makosa upande wa askari. Askari walikuwa wakitimiza wajibu wao wa kazi kama kawaida.
Kuna swali halijajibiwa hapa. Polisi walianzaje kupiga watu? Hata kama ni sababu za kijinga tuzijue.
Hao wananchi walipigwa tu bila sababu za msingi? Kama walivamia eneo la mgodi, sidhani kama kulikuwa na makosa upande wa askari. Askari walikuwa wakitimiza wajibu wao wa kazi kama kawaida.
Ukweli nakuheshimu sana mzee mwanakijiji,kwa nini kwanza tusiwafundishe raia kutii mamalaka na kuacha vurugu? haiingii akilini eti polisi aje nyumbani kwa mtu ampige pasi na sababu! hebu tuache ushabiki!
pamoja na wanaharakati, wasomi, na wanahabari, wanasiasa na wanajamii kuingiwa na wasiwasi na kujitahidi kulaani unyama uliofanywa na polisi kule IRINGA kwa kuua mwandishi wa habari wakituo cha television chahanel 10 leo kama kwaida yao wameonesha ubabe mkubwa kwa kuvamia barabara na kuanza kupiga wananchi huko TARIME mara kwenye makazi yaliyo karibu na mgodi wa north mara hatimaye wakarusha risasi na mabomu yaliyojeruhi akina mama wawili na watoto watatu, kwenye mji wa mzee ngewa ikumbukwe kuwa tarehe 29 walikuwa wameua watu watatu jamani tunaenda wapi
Hao wananchi walipigwa tu bila sababu za msingi? Kama walivamia eneo la mgodi, sidhani kama kulikuwa na makosa upande wa askari. Askari walikuwa wakitimiza wajibu wao wa kazi kama kawaida.
Siungi mkono matumizi ya risasi lakini kwa Nyamongo pale huwa ni timing; polisi akicheza anakuwa chakula cha mto tigite. Hali ya usalama pale ni mbaya sana. Hamkumbuki kuna wakati wananchi waliishusha helkopta kwa kombeo? Chezea wanyamongo na wanyabasi wewe.
Polisi hutumia nguvu pale tu watu wanapofanya ukaidi wa kutokutii amri za mwanzo. Usijifanye hilo hulijui.
Hao wananchi walipigwa tu bila sababu za msingi? Kama walivamia eneo la mgodi, sidhani kama kulikuwa na makosa upande wa askari. Askari walikuwa wakitimiza wajibu wao wa kazi kama kawaida.
Kuna swali halijajibiwa hapa. Polisi walianzaje kupiga watu? Hata kama ni sababu za kijinga tuzijue.
Ukweli nakuheshimu sana mzee mwanakijiji,kwa nini kwanza tusiwafundishe raia kutii mamalaka na kuacha vurugu? haiingii akilini eti polisi aje nyumbani kwa mtu ampige pasi na sababu! hebu tuache ushabiki!
Mkuu huwezi kupata jibu. Watabaki kubwabwaja tu. Askari HAWAWEZI kuanza kutembeza mkong'oto bila sababu
Siungi mkono matumizi ya risasi lakini kwa Nyamongo pale huwa ni timing; polisi akicheza anakuwa chakula cha mto tigite. Hali ya usalama pale ni mbaya sana. Hamkumbuki kuna wakati wananchi waliishusha helkopta kwa kombeo? Chezea wanyamongo na wanyabasi wewe.