Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Wanaokaa nje ya mgodi wengi wao ni wenyeji wa palepale yaani wamezaliwa palepale.Lakini wawekezaji na viongozi wa mgodi waliotoka nje ya Nyamongo hawakai mitaani.
Kwahiyo unataka kuniambia kwamba barrick pamoja na macontractors wake wameajiri wafanyakazi wengi wazawa wa nyamongo sio? you must be joking...
Katika akili ya kawaida ingekusaidia kufahamu kwamba hata migodi ya GGM, Buly na Buzwagi ambapo tunaweza kusema hakuna vurugu kama hizi za nyamongo bado wawekezaji na viongozi wa migodi hawakai nje ya migodi kwenye vijumba vya wenyeji bali wana maeneo yao maalum wanayoishi. Bahati nzuri nimefika migodi ya buly na buzwagi kwahiyo ninafahamu ni kwa kiwango gani wafanyakazi wao wanaishi ndani ya migodi na wanaoishi nje ya migodi.