Kichwa Kontena
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 661
- 562
muda bado kila kitu kitakua wazi palipofikia ni pazuri kua na subiraWasalam, natafakari kwa kina sipati jibu kichwa kinauma. Nafikiri wakati umefika sasa serikali yetu sikivu ya ccm na jeshi la police watuambie ni kinanani walitaka kumuua tundu lisu kama wamekwama waunde tume ya kimahakama ichunguze swala hili, au waruhusu vyombo huru vya uchunguzi kutoka nje ya nchi yetu. Ova.