Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kwa hiyo unadhani kila uhujumu uchumi hauna dhamana?Uhujumu uchumi ?
Kwa hiyo unadhani kila uhujumu uchumi hauna dhamana?Uhujumu uchumi ?
Kibajaji kakamatwa na Takukuru..itapendeza akifungashwa virago
Mtoto siku zote uwa anarithi matendo ta Baba..Mmewaonyesha njia kwa kununua wapinzani sasa wanafuata mkondo...acheni kuwanyanyasa...Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.
Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Zilonga mbali zitendwa mbali ,CHAMA CHA MAFISADI kinawezaje kuwakataa watoa rushwa?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.
Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu taarifa zote zipo!Kama taarifa mnazo safi
Hivi ni Kwa nini CCM kwenye uchaguzi wowote hawajiamini? Hakuna siku mwana CCM aliwahi kuamini kwamba mwananchi atamchagua bila kumhonga. kwa nini hawajiamini kwamba wanapendwa na kuaminiwa?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.
Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Hivi kuna aliyewahi kuamini kwamba CCM inachukia rushwa? Huyo atakuwa mjinga namba moja Tanzania.Ivi ccm bila rushwa hakichaguliwi?
Mpka sasa waliokuwa wabunge na wametia nia wanakamatwa kwa rushw nitataja kwa ufupi waliotangazwa mpka sasa yawezekana ni wote ila irategemea uko vip na mamlaka ya uteuzi.
1. Kigwangala
2. Kibajaji (Lusinde)
3. David Mathayo
4. .....
Ila kubwa zaidi ni mwenyekiti wa ccm na rais wa nchi kusambaza viskmu vya tochi vyenye nembo ya ccm a picha yake na ujumbe wa uchaguzi 2020 sasa hapa mteuliwa atamkamata mteuliwa kwa rushwa?
From Adbul Nondo
Chama cha mapinduzi @ccm_tanzania kimeandaa simu nyingi sana zenye nembo ya CCM na tone ya CCM ukiizima,ukiiwasha au ukiipokea.Sasa hivi wanazigawa kwa vijana kwa kuwatumia UVCCM nchini.Mfano,Juzi UVCCM walikusanya vijana sabasaba(Mlole)Kigoma na kuwagawia hizo simu hii ni Rushwa https://t.co/lLBdmXfacW
jiwe kamwambia aridhike na alipoHivi comred polepole yeye hataki kutia nia ya kugombea ubunge?
Je Ccm ita tenda haki??Ngojea Dodoma Uone Mwenyewe Mwenyekiti Ataamua Jambo Kwa Haki
Chama kinatakiwa kufuatilia kwa karibu jizi shutmaJe Ccm ita tenda haki?? View attachment 1527633
Mwiba Wa Mat*k* Yote MawiliTunasaidia kuirahisishia Kaati Kuu ya CCM wiki hi kufyeka wagombea waliotoa rushwa na nitaahangaa mkiwarudisha. 1. Prof. Kabudi (Kilosa)
2.Prof. Ndalichako (Kasulu)
3. Ahamed Shabiby (Cairo)
4. Amosi Makala ( Mvomero)
5. Paul Makonda ( Kigamboni)
6. Peter Selukamba ( Kigoma Kas)
7. Dr. Molel ( Siha)
8. Fredy Lowassa (Monduli)
9. Jenister Mhagama (Peramiho)
10. Dr. Kigwangala ( Igunga)
Hiyo ni Top Ten bila kuonea unawesza kuongeza orodha kukisaidia chama.