USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Rushwa ibaki chademaHii ni CCM mpya, haikubali rushwa na ubadhilifu. Wataisoma namba.
Rushwa ibaki chademaHii ni CCM mpya, haikubali rushwa na ubadhilifu. Wataisoma namba.
Rushwa ni jinai bwashee, ni kwa nini wasichukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria kama taarifa mnazo? Kamati kuu ya ccm imekuwa ndio mahakama?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.
Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Taarifa zote zipo.
Bwashee amini CCM ni chama kikubwa!
Hata Kanisa Katoliki na Bakwata wana mahakama zao bwashee!Rushwa ni jinai bwashee, ni kwa nini wasichukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria kama taarifa mnazo? Kamati kuu ya ccm imekuwa ndio mahakama?
Au ndio mnaandaa mkakati wa kuwakata watu kwa hila kwa kisingizio cha rushwa?
Naona umeamua kujibu kama mataga wenzio.Hata Kanisa Katoliki na Bakwata wana mahakama zao bwashee!
Kwenye hiyo list Tulia yupo?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kinapokea taarifa za watia nia wanaotoa rushwa kutoka kote mikoani kila siku.
Polepole amesisitiza kuwa watu hao ambao majina yao yapo makao makuu hawatapewa fursa ya kugombea uongozi kamwe.
Chanzo: Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Ameridhika na cheo chake!Hivi comred polepole yeye hataki kutia nia ya kugombea ubunge?
Zama zimebadirika CCM mpya Chini ya Mhe.Dr. Magufuli haina urafiki na rushwa, wote watafyekwa.Hii ni CCM mpya, haikubali rushwa na ubadhilifu. Wataisoma namba.
Rushwa ibaki chadema
Zama zimebadirika CCM mpya Chini ya Mhe.Dr. Magufuli haina urafiki na rushwa, wote watafyekwa.
Uhujumu uchumi ?Kosa la Nchambi linaingia vipi kwenye hii mada. Una uhakika halina dhamana?
Hii ni CCM mpya, haikubali rushwa na ubadhilifu. Wataisoma namba.
Hao ni ndugu wa baba mmoja,kama uji na mgonjwa,kigwangala walimfanyaje? na boda na baiskeli zake?Mahakama na CCM ni vitu viwili tofauti!
Ameshahukumiwa na kulipa faini, Hawezi kuwa MbungeMwambie aache mikwara huyo, yule Nchambi ikawaje apewe dhamana kwa lile kosa lake?!