Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,462
- 29,163
Kwa kitila nahisi we ni mgeni ubungo mtafute ata dereva bodaboda atakuambia namna ilivyokuaHadi sasa naweza kuwa na uhakika na wagombea kama watatu ambao hawana harufu ya rushwa ambao ni mh Majaliwa ( Ruangwa), Prof Kitila ( Ubungo) na Prof Kabudi ( Kilosa).
Mungu wape ujasiri CCM wa kutuletea wagombea sahihi
Maendeleo hayana vyama!