Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Humphrey Polepole amesema "Leo kinachoendelea kwenye Uchaguzi wa Chama huko chini...ni kudhihirisha ni namna gani Chama kimedhohofika kwenye kusimamia Misingi, Nidhamu ya Wanachama, Maadili, Rushwa"
"Ni Haki kila Mtu kugombea lakini kwenye Chama ambacho tuna Kamkate kadogo ka fursa za Uongozi haipendezi unatazama kwenye mchakato wa Ubunge ni Watu wa Familia za Viongozi."
"Ni Haki kila Mtu kugombea lakini kwenye Chama ambacho tuna Kamkate kadogo ka fursa za Uongozi haipendezi unatazama kwenye mchakato wa Ubunge ni Watu wa Familia za Viongozi."