Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,383
Lini sasa twende tukakione, si utapunguza kidogo radhiya.....Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Lini sasa twende tukakione, si utapunguza kidogo radhiya.....Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Bei zako huwa zinachekesha mpaka nahisi unafanyaga comedy😂Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Nkimuonaga radhiya nakumbuka ule mjengo wa vingunguti.....Bei zako huwa zinachekesha mpaka nahisi unafanyaga comedy😂
Subiri niutafute ule mjengo! Najua bado haujapata mteja😂Nkimuonaga radhiya nakumbuka ule mjengo wa vingunguti.....
radhiya mimi naitaka ile custom warehuse pale karibu na peninsula plaza bei inasimamia ngapi 😁Ina maana nyinyi hamjawahi kuona maeneo yanauzwa kuanzia Bilioni? Mbona ni jambo la kawaida sana jaman 😁
Nipo nipo mikuu sema fanya juu chini isiwe weekend maana si unajua nikiye nae Weeknd hataki nitoke mkuu🙌🙌🙏
Nusu umeze ulimi 😂😂😂😂🤣🤣
Hiyo bei...
Astaghafirullah
Ali K for real si unamjua?Ali yupi boss? Niunganishe nae kama inawezekana nimshirikishe kama atakuwa interested au unipe namba yake..