mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,322
- 56,057
- Thread starter
- #141
mkuu mbona umekwenda mbali sana unasema Putin.hata mimi mtoto wa mvuvi nisingekubaliEAC nchi zipo tano, viti vya kwenye zuria vipo vitano. Sasa huyo mwingine huko mwishoni aliekalia kiti cha mwakilishi wa nchi tuseme yetu ni nani? Yaani ni dharau za wazi kabisa dhidi ya Tanzania. Putini wa Urusi haki ya nani asingekubali.