Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

EAC nchi zipo tano, viti vya kwenye zuria vipo vitano. Sasa huyo mwingine huko mwishoni aliekalia kiti cha mwakilishi wa nchi tuseme yetu ni nani? Yaani ni dharau za wazi kabisa dhidi ya Tanzania. Putini wa Urusi haki ya nani asingekubali.
mkuu mbona umekwenda mbali sana unasema Putin.hata mimi mtoto wa mvuvi nisingekubali
 
Nafikiri huyo mzee hakuwepo kwenye itifaki ya kupiga picha na hao viongozi au amelazimisha apige picha akidai anamwakilisha Jk!
 
EAC nchi zipo tano, viti vya kwenye zuria vipo vitano. Sasa huyo mwingine huko mwishoni aliekalia kiti cha mwakilishi wa nchi tuseme yetu ni nani? Yaani ni dharau za wazi kabisa dhidi ya Tanzania. Putini wa Urusi haki ya nani asingekubali.


Sudan Kusini kama mwalikwa humuoni hapo?
 
Nafikiri huyo mzee hakuwepo kwenye itifaki ya kupiga picha na hao viongozi au amelazimisha apige picha akidai anamwakilisha Jk!

Huyo kizee laana ya maaskofu itamtafuna hadi kaburini
 
Linapokuja suala la utaifa siasa tuweke pembeni uzalendo uwe mbele hawa jamaa wanaidharau sana Tanzania na kumuweka mwakilishi wa taifa letu kwenye nyasi hii ni dharau no matter alifanya nini BMK tulikemee hili
 
Kwenye hili mimi sikubali lazima watz tuwe wamoja kwenye foreign issues tuwe wamoja la sivyo manyang'o watapeta

Sio kwa hili zee linafki na jambawazi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Akili ndogo za Bavicha

Bavicha hawana uwezo wa kukupa ujauzito mama tulia hivyo hivyo maana unawawaza sana hata sehemu ambapo Bavicha hawaingii..!! Kwanza umeolewa?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Linapokuja suala la utaifa siasa tuweke pembeni uzalendo uwe mbele hawa jamaa wanaidharau sana Tanzania na kumuweka mwakilishi wa taifa letu kwenye nyasi hii ni dharau no matter alifanya nini BMK tulikemee hili

Utaifa wa nini mbele ya Tapeli aliyechakachua maoni ya Watanzania?
Utaifa mbele ya muhuni aliyetukana matusi viongozi wetu wa kiroho?
Utaifa mbele ya Kibaka aliyeiba fedha za wajumbe wa Ukawa waliogomea Bunge haramu la Katiba?
Utaifa mbele ya dhulumati aliyeongeza kura feki za Zanzibar ili kupitisha Katiba Haramu?

Kwa hili nasema HAPANA.
 
Linapokuja suala la utaifa siasa tuweke pembeni uzalendo uwe mbele hawa jamaa wanaidharau sana Tanzania na kumuweka mwakilishi wa taifa letu kwenye nyasi hii ni dharau no matter alifanya nini BMK tulikemee hili
Kwa viongozi wapuuzi puuzi kama hawa, walioona ni sawa kusigina katiba kwa manufaa yao. Wala hakuna haja ya kuwaonea huruma, acha wadharauliwe hata nacwagagagigikoko.
 
Tangu watu wamejua kutumia fotoshopu imeshakua taabu. Hicho kiti cha bibi harusi na kipaimara kimefuata nini hapo?
 
Tangu watu wamejua kutumia fotoshopu imeshakua taabu. Hicho kiti cha bibi harusi na kipaimara kimefuata nini hapo?

Fotoshopu no fotoshopu ni dhahiri kupitia maoni ya wachangajiaji post Sita hakubaliki, dhambi ya usaliti itamtafuna hadi kiama. Kama nia ku mobilize public sympathy imekula kwenu big time.
 
Utaifa wa nini mbele ya Tapeli aliyechakachua maoni ya Watanzania?
Utaifa mbele ya muhuni aliyetukana matusi viongozi wetu wa kiroho?
Utaifa mbele ya Kibaka aliyeiba fedha za wajumbe wa Ukawa waliogomea Bunge haramu la Katiba?
Utaifa mbele ya dhulumati aliyeongeza kura feki za Zanzibar ili kupitisha Katiba Haramu?

Kwa hili nasema HAPANA.

Lakini Mkuu Molemo Mimi mwenyewe ya BMK sijayafurahia hata kidogo ila pale amesimama kama Tanzania na hapo ndio ninaona kuna umuhimu wa kuweka utaifa mbele hii ni dharau
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom