upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,086
- 4,525
Namsikitikia mumewako 😕
Kama nimsikitikiavyo anaekutwanga coz ni dhahili we ni punga.
Namsikitikia mumewako 😕
Hii roho yako inaonekana inauma hata kwenye vitu visivyo vya maana.![]()
Hii picha kila nikiiangalai na nikimuangalia Mh Smuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma ,kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike
Akili ndogo za Bavicha
Six alivyoona kadharauliwa akaona angalau akanyage red carpet kwa mguu wa kushoto
Akili ndogo za Bavicha
![]()
Hii picha kila nikiiangalai na nikimuangalia Mh Smuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma ,kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike
kuna msemo kuwa mbwa mkali kwao ,mtu anayeheshimika nchini yaani kule yeye wame mregard kama VISITOR sawa na wapiga picha wa vyombo vya habariHaki mama , nimecheka sio tu kuwa ka kaweka kamguu kake ka kushoto, na anakamba shingoni nyeupe. kwi kwi kwi kwi kwi
Ndio dawa ya unafiki. Kifupi ni kuwa kavamia hiyo shughuli period.