simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,760
- 9,667
FOR THOSE WHO FEEL THE COUNTRY THIS IS VERY PAINFUL......
Japo nina machungu yangu dhidi ya Mzee Wetu huyu SITA na BUNGE la KATIBA kwa hili NAFEEL NI MIMI MWENYEWE, NA KAMA KAFANYIWA MTANZANIA YOYOTE YULE TOKA Magagura Songea, Mpaka Nyamongo Tarime Mara, Na kutoka Mwika Marangu Kilimanjro Mpaka Kanyigo Bukoba.
OUR FORE FATHERS WALITUACHIA TAIFA LENYE HESHIMA SANA KIMATAIFA-Mwalimu anasema mikutano ya UMOJA WA MATAIFA Mtanzania alikuwa akikaribia kuhutubia Wasikilizaji walikuwa wanasita kwenda kuvuta Sigara wanakaa kusikiliza Mtanzania huyo atasema Nini?Leo hii ni haya ya Mzee Sita.
Leo tuko hapa EAST AFRICA Mzee Sita mwakilishi wetu kawekwa kama MVAMIZI WA JAMBO LISILO MUHUSU...
DO WE NEED THEM THAN THEY NEED US!!!!..............Kama Mtanzania Nimejiona Nafasi Yangu Kwenye EAC kupitia PICHA HIYO YA SITA.
Wachina wansema A PICTURE SPEAKS A THOUSANDS WORDS............Picture hii Imeongea Maneno Maelfu Kwa Watanzania.
TULIPOFIKA ....MUNGU PANATOSHA.
We have undying love for Tanzania, we have no love for hypocrites who mingle with well intentioned EA leaders.