Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

Alafu kiti cha Sitta mbona kiko tofauti na vya wenzake.? Hawa jamaa wanatudharau sana
 
Wanamfahamu alichakachua maoni ya wananchi wa tanzania kwa hiyo hapo hawakilishi watanzania ndo maana wamemtenga
 
Anaonekana hajiamini, yaanikama haendani na wenzake vile, yaani kama kadandia basi asilokuwa amepangiwa, yaani kama kaingia choo cha kike vile, yaani kama kamela man ameiangalizia kamera kwa wale wenzake, yaani anaona kama wanamsema vile kwamba huyu kafuata nini hapa!, yaani anaonekana anaangalia kama wenzake wamekalia kiti kama chake. Haya bana six.
 
Mzee anapenda sifa ona shingoni na kadi yake ya mwaliko...hata baki salama asilani ..
 
hahahahahaha..aisee sitta nae mpole sana, asingekubali. teh teh teh

Kwenye hili mimi sikubali lazima watz tuwe wamoja kwenye foreign issues tuwe wamoja la sivyo manyang'o watapeta
 
prof amekaa marekani wiki mbili bila obama kumtembelea....ingekuwa obama yupo anatibiwa tz??....pia unaweza ona sitta nae amebaguliwa na hao makamanda.... ukweli ni kuwa wapo level nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom