mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,322
- 56,057
- Thread starter
- #161
hawa jamaa kweli wanatudharau mi nadhani tuangalie Rais ajaye awe strong zaid watatia adabu ila tukichagua mtu asiyejiamini matokeo yake ndio hayaLakini Mkuu Molemo Mimi mwenyewe ya BMK sijayafurahia hata kidogo ila pale amesimama kama Tanzania na hapo ndio ninaona kuna umuhimu wa kuweka utaifa mbele hii ni dharau