Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

Picha: Samuel Sitta amenihuzunisha

10410297_824822447577597_4592484584682590232_n.jpg


Hii picha kila nikiiangalai na nikimuangalia Mh Smuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma ,kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike
Pro-CCM walivyokuwa hawaina aibu,watasema hii picha ni adobe photoshop imetumika.

Hii ni aibu na fedheha kwa nchi yetu kwakweli.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Kwenye hili mimi sikubali lazima watz tuwe wamoja kwenye foreign issues tuwe wamoja la sivyo manyang'o watapeta

Kaenda kama Mtanzania Bar na si Matanganyika au Mzanzibar
 
Kwenye hili mimi sikubali lazima watz tuwe wamoja kwenye foreign issues tuwe wamoja la sivyo manyang'o watapeta

Simtaki Sitta baada ya Katiba ovu lakini kwa hili sisi wote watanzania ni letu
 
  • Thanks
Reactions: DSN
10410297_824822447577597_4592484584682590232_n.jpg


Hii picha kila nikiiangalai na nikimuangalia Mh Smuel Sitta anavyowaangalia wenzake kwa hasira baada ya kumtenga kwenye majani na kwenye kiti cha peke yake wenzake wako kwenye red carpet roho inaniuma ,kama mbwai mbwai tu na ndoa ivunjike

Independence day Kenya
 
prof amekaa marekani wiki mbili bila obama kumtembelea....ingekuwa obama yupo anatibiwa tz??....pia unaweza ona sitta nae amebaguliwa na hao makamanda.... ukweli ni kuwa wapo level nyingine
Obama yuko bize ,trip zote za prof USA anapokelewa na balozi wetu mama Liberata Mulamula,tena huenda Obama huwa hajui kama jamaa katimba kwenye nchi yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom