Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,701
- 6,936
Hapo mwisho umejijibu mwenyewe! Siyo kwamba tunadharauliwa na Jirani zetu wa EAC tu bali hata huku Kusini hatuna ushawishi tena wa enzi hizo za Mwl. Nyerere. Wachawi ni sisi wenyewe tusimtafute mchawi nje ya Tanzania. Tusiendelee kuishi kwa nyota ya Mwl. Nyerere wakati tunachagua watawala wa hovyo na wajinga!
Nyerere ni sehemu ya hili tatizo, soma Historia pande zote mbili - hawa wote unaowaona sasa hivi kwenye CCM na serikali katika ngazi za juu ni vijana wa TANU Youth League!!