Si hivo. picha ina implication yake. ni kama watu wanakula mezani kwa visu na uma huku mwingine akila kwa mikono huku kakaa chiniWabongo kwa kushabikia mambo ya kipumbavu mmeshinda.
Mambo yasiyo ya kipumbavu unayp shabikia Wewe ni yepi wakati wewe mwenyewe ni sehemu ya upumbavu ulipo?Wabongo kwa kushabikia mambo ya kipumbavu mmeshinda.
Pia weupe wa kiti unaweza kumaanisha kuwa aliyekikalia kiti ni mweupe kichwani, hana kitu cha kuchangia, au anawakilisha watanzania walivyo weupe vichwani.Wanafasihi wakianza kuchambua hapo kwenye kiti acha kabisa... wanaweza kutoa hoja za kukushangaza
mfano wanaweza wakakwambia Sitta kapewa kiti cha rangi...nyeupe, kwa sababu watawala wengi nchini mwake wanaabudi wazungu(ngozi nyeupe) kuliko raia wanowatala,.....ama wakamsifu kwa rangi ya kiti hicho hicho.
Hivi ilikuwa lazima apige picha katika mazingira yale...!? Samwel hamna kitu, katudhalilisha.
hiyo ndiyo COW, kusoma hatujui hata picha inatusihinda!
du!ndo maana sitta mguu mmoja uko kwenye carpet na mwingine kwenye majani!Tz tupo mguu nje mguu ndani saa yoyote tunatema.