hahaha!!! unajipendekeza kwa watu hawakupendi!!!!?? yani hata hicho kiti hakiendani na wenzake, kajilazimishia.
huyu haramia ameenda lini huko
Ndio dawa ya unafiki. Kifupi ni kuwa kavamia hiyo shughuli period.
hahaha!!! unajipendekeza kwa watu hawakupendi!!!!?? yani hata hicho kiti hakiendani na wenzake, kajilazimishia.
Dhambi ya kuwasaliti watanazania.
Kwa kweli ccm imevuka mipaka na ni Tatizo la Afrika Mashariki. ccm imekwamisha maendeleo ya Tanzania na sasa inakwamisha Jumuiya ya Afrika Mashariki.