Uchaguzi 2020 Mgombea kupitia CHADEMA, Tundu Lissu achukua fomu za Kugombea Urais wa Tanzania ofisi za NEC Dodoma

I wish mgombea wake mwenza angekua yule Dokta Mwanamke aliyetia nia mapema kabisa kugombea hiyo nafasi kupitia hicho chama chake cha Chadema.

Naona huyo Salum Mwalimu kama hana mvuto vile!! Ni maoni yangu tu hivyo 'Makamanda' nawaomba sana msinielewe vibaya. Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo. Sina chama.

Kwani yule daktari anatokea Zanzibar maana sheria intaka watoke bara na mmoja Zanzibar
 
Wametokea sehemu mbalimbali nchini wamesafiri hadi kufika Dodoma kushuhudia tukio la uchukuwaji form wa Mh. Tundu Lissu
 
Tushawazoea kila kipindi cha uchaguzi kinapokaribia Chadema hupandwa midadi ya kushinda lakini wapi,
Mlivyoshindwa 2015 haitokuja kutokea tena.
Tuombe uzima tu msikimbie jukwaa.
 
Salary Slip nilikuwa nje ya mtandao, vipi watu wameitikia vipi? kama Dar? Mungu mbariki TL! Huyu ni mkombozi, tusipigwe tena Risasi, tupewe nyongeza ya mishahara maana ni statutory, tusipotezwe,tusibambikiwe kesi and many many other atrocities commited by this regime! Lisu atayakomesha na hayatatokea tena!
 
John Mnyika. bagamoyo, Molemo , CHADEMA , Chadema Diaspora Tuleteeni video hiyo ya hotuba ya Lissu humu na kupitia facebook na Twitter . Tutaidownload na kuisambaza hadi vijijini.

Tunakuja kwenye hotuba hii ya leo ndo Lissu anaanza rasmi kusema Sera zake na za Chama zake Ndo mana fitna za Leo zimekuwa kwa kiwango kikubwa kukiwa na taarifa watu wa CCM na kwa mzee Magu wamepiga simu kwenye vyombo vya habari kuwatisha Eti wasionyeshe tukio la leo.
 
Unajua kanuni za uchaguzi za safari hii kuwa sio lazima upewe fomu ya matokeo? Toka awamu hii iingie madarakani, tumeshuhudia chaguzi za kishenzi, kihayani na kikatili kuliko wakati wa ukoloni. Tumeona wapinzani wakipigwa na vikundi vya wanaccm kwa uratibu wa jeshi la polisi, tumeona kwenye chaguzi za marudio wasimamizi wa upinzani wakilazimishwa kusaini fomu fake za matokeo na polisi, tena hayo yamefanyika mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na wakala yoyote aloyegoma kusaini alipewa kipigo kikali. Tumeona wasimamizi wa uchaguzi wakifunga ofisi ili wapinzani wasirudishe fomu, hatimaye mgombea wa ccm apite bila kupingwa. Hayo ni baadhi tu yaliyofanyika mbele ya macho yetu. Ww huongolei amani, bali unazungumzia ukondoo ili ccm iendelee kukaa madarakani.
Usivuke mto kabla haujaufikia.
Subiri siku ya uchaguzi halafu uone kama wakala wako hataruhusiwa kushuhudia hatua zote za kura ndipo ulalamike. Lakini uwe na ujasiri wa kukiri ukweli endapo utashindwa.
 
Usivuke mto kabla haujaufikia.
Subiri siku ya uchaguzi halafu uone kama wakala wako hataruhusiwa kushuhudia hatua zote za kura ndipo ulalamike. Lakini uwe na ujasiri wa kukiri ukweli endapo utashindwa.

Hayo niliyokuambia ni ukweli mtupu, labda ungekiri kwanza ukweli niliousema. Kama wakati huo box la lilichezewa mbele ya macho ya umma, ni kipi unataka nije nikiri huko mbeleni? Ungenionyesha uungwana kuwa hayo yaliyofanyika huko nyuma ni sawa, ila kwa sasa mmejirekebisha, na ili nijue kweli ni mtu unayependa ukweli, tamka wazi kuwa uchaguzi wa SM za mitaa ulikuwa batili. Halafu tutaanzia hapo kwenye hilo daraja.
 
Cdm hawahitaji upendo wako. Hakuna mwanacdm anaisema vibaya nchi bali mwenendo mbaya wa serikali, na hili litafanyika popote pale duniani. Jifunze tofauti ya serikali na nchi. Serikali inaheshimiwa, lakini haimaanishi serikali na Mungu hivyo haiwezi kukosolewa, kupingwa nk. Inaonekana kwako rais ni Mungu ndio maana unajipa haki ya kuzuia yeye kukosolewa. Hii ni kwasababu una maslahi binafsi na madaraka yake. Kazi ya cdm ni kukosoa serikali kwakuwa wao ni wapinzani, hiyo kazi ya kusifia na kusujudia wasisitizeni NCCR, CUF, TLP nk ndio wawafanyie.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi. Naishukuru serikali yangu imenipa ajira. Natambua kazi aliyoianza mhe rais Magufuli ya kuijenga nchi yetu na ndio maana nataka aimalizie kwa 2020-2025.
Natambua Cuf , tlp, cdm, act wazalendo ni wote ni vyama vya upinzani
Nawasihi chadema msiwabague wenzenu. Dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana. Itawatafuna.
 
Ndo hapo sasa. Tukisemaga CCM ni laana kwa hii nchi watu wanafikiri tunawaonea ila ukweli na uhalisia ndio huu.

Hakuna mradi CCM walioweza kuuendesha kiufanisi kuanzia mwendo kasi, uwanja wa taifa, makazi bora na mingine Mingi sana. Mbaya zaidi ukiangalia hivyo vitu wanavyoshindwa kuvifanya kwa ufanisi haviitaji miujiza kwa sababu Kama wenzetu wanaweza hilo linamaanisha kuwa hata sisi tunaweza!!
Wenzetu wanapeleka chombo Mars sisi hata maji taka Kariakoo yanashinda
 
Back
Top Bottom