Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
NEC ingekuwa huru leo 2020 CCM ingekuwa marehemu
CCM ni marehemu anayezikwa rasmi October 2020. Whether kuna tume huru or not. Nguvu ya umma inaenda kufanya ya Malawi hapa Tanzania leo.NEC ingekuwa huru leo 2020 CCM ingekuwa marehemu
I wish mgombea wake mwenza angekua yule Dokta Mwanamke aliyetia nia mapema kabisa kugombea hiyo nafasi kupitia hicho chama chake cha Chadema.
Naona huyo Salum Mwalimu kama hana mvuto vile!! Ni maoni yangu tu hivyo 'Makamanda' nawaomba sana msinielewe vibaya. Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo. Sina chama.
It doesn't matter! RIP Ccm.Mbona watu wachache sana...
Mhhh mbona serikali za mitaa mlishindwa?CCM ni marehemu anayezikwa rasmi October 2020. Whether kuna tume huru or not. Nguvu ya umma inaenda kufanya ya Malawi hapa Tanzania leo.
John Mnyika. bagamoyo, Molemo , CHADEMA , Chadema Diaspora Tuleteeni video hiyo ya hotuba ya Lissu humu na kupitia facebook na Twitter . Tutaidownload na kuisambaza hadi vijijini.
Tulishindwa au mlifanya udhalimu. Na kwa taarifa yenu sasa ni baasi!!! Hatutauacha tena udhalimu wenu wowote ule.Mhhh mbona serikali za mitaa mlishindwa?
Hao hawajaifata Chadema bali wamekuja kushuhudia muujiza!
Lijuakali anatia huruma. Amekuwa mdogo kama kutu ya mwsisho
Usivuke mto kabla haujaufikia.Unajua kanuni za uchaguzi za safari hii kuwa sio lazima upewe fomu ya matokeo? Toka awamu hii iingie madarakani, tumeshuhudia chaguzi za kishenzi, kihayani na kikatili kuliko wakati wa ukoloni. Tumeona wapinzani wakipigwa na vikundi vya wanaccm kwa uratibu wa jeshi la polisi, tumeona kwenye chaguzi za marudio wasimamizi wa upinzani wakilazimishwa kusaini fomu fake za matokeo na polisi, tena hayo yamefanyika mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na wakala yoyote aloyegoma kusaini alipewa kipigo kikali. Tumeona wasimamizi wa uchaguzi wakifunga ofisi ili wapinzani wasirudishe fomu, hatimaye mgombea wa ccm apite bila kupingwa. Hayo ni baadhi tu yaliyofanyika mbele ya macho yetu. Ww huongolei amani, bali unazungumzia ukondoo ili ccm iendelee kukaa madarakani.
Usivuke mto kabla haujaufikia.
Subiri siku ya uchaguzi halafu uone kama wakala wako hataruhusiwa kushuhudia hatua zote za kura ndipo ulalamike. Lakini uwe na ujasiri wa kukiri ukweli endapo utashindwa.
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi. Naishukuru serikali yangu imenipa ajira. Natambua kazi aliyoianza mhe rais Magufuli ya kuijenga nchi yetu na ndio maana nataka aimalizie kwa 2020-2025.Cdm hawahitaji upendo wako. Hakuna mwanacdm anaisema vibaya nchi bali mwenendo mbaya wa serikali, na hili litafanyika popote pale duniani. Jifunze tofauti ya serikali na nchi. Serikali inaheshimiwa, lakini haimaanishi serikali na Mungu hivyo haiwezi kukosolewa, kupingwa nk. Inaonekana kwako rais ni Mungu ndio maana unajipa haki ya kuzuia yeye kukosolewa. Hii ni kwasababu una maslahi binafsi na madaraka yake. Kazi ya cdm ni kukosoa serikali kwakuwa wao ni wapinzani, hiyo kazi ya kusifia na kusujudia wasisitizeni NCCR, CUF, TLP nk ndio wawafanyie.
Wenzetu wanapeleka chombo Mars sisi hata maji taka Kariakoo yanashindaNdo hapo sasa. Tukisemaga CCM ni laana kwa hii nchi watu wanafikiri tunawaonea ila ukweli na uhalisia ndio huu.
Hakuna mradi CCM walioweza kuuendesha kiufanisi kuanzia mwendo kasi, uwanja wa taifa, makazi bora na mingine Mingi sana. Mbaya zaidi ukiangalia hivyo vitu wanavyoshindwa kuvifanya kwa ufanisi haviitaji miujiza kwa sababu Kama wenzetu wanaweza hilo linamaanisha kuwa hata sisi tunaweza!!