Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,080
- 103,568
Kwani lazima zijazwe zote kama zilikuwepo zingine za magumashi je??
Unajua unachoongea? Vyeti fake ni tofauti na wafanyakazi hewa. Sasa kama hujafikia hiyo 19,000 unajisifia nini kama umetoa ajira, wakati kilio cha ajira kimezidi ndani ya hii miaka mitano? Huyo Magufuli namfananisha na wale vijana wanaonyanyua vitu vizito wanaishia kuvimba kifua na kuwa kama ufunguo wa gari, huku sehemu nyingine zikiwa kondefu. Hivyo Magufuli kawekeza kwenye miundombinu zaidi, kasahau sehemu nyingine. Hii ndio tunaita maendeleo ya vitu na sio watu.