johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,997
- 142,016
Kwa mfano 2020 Tundu Antipas Lisu mgombea Urais kupitia Chadema alipata usumbufu usio wa lazima Wakat wa kurejesha Fomu
Kwanini mchakato usianzie Tume ya Uchaguzi Ili Watu Wenye Sifa stahiki waliopitishwa na Tume ndio wakashindanishwe Kupata Udhamini kwenye vyama vyao?
Utaratibu wa sasa wa kuwekeana mapingamizi siku ya kurudisha Fomu ni wa Kishamba sana na umepitwa na Wakati
Nawatakia Dominica njema 😄
Kwanini mchakato usianzie Tume ya Uchaguzi Ili Watu Wenye Sifa stahiki waliopitishwa na Tume ndio wakashindanishwe Kupata Udhamini kwenye vyama vyao?
Utaratibu wa sasa wa kuwekeana mapingamizi siku ya kurudisha Fomu ni wa Kishamba sana na umepitwa na Wakati
Nawatakia Dominica njema 😄