pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,710
- 6,372
Nilipomuona akipayuka kutaja majina nikagundua tu huyu afanyi mambo kisomi, Bali anapayuka ili kujitafutia umaarufu wa kijinga.
Kwa iyo Mh JK ni wa Kunyumba?Kwani aliyekuambia kuwa hili suala la Yeye kuwa na Cheti siyo chake limeanzishwa na Mange ni nani? Kwa taarifa yako tu kuwa Watu wenye Kazi / Shughuli zao walishawahi hata kupinga tu kuteuliwa Kwake ila nguvu ya ( wa Kunyumba ) iliwashinda na Jamaa akateuliwa. Ni vyema siku zingine kama haupo detailed juu ya mambo fulani uwe tu unatulia na kuacha WANAMUME waweke mambo hadharani.
Ndiyo maana nimeongezea neno Outside the borderLakini sio kwa vyeti...sio neno sahihi
Majita kutajwa hadharani hayajaanzia leo, ni tangu kutajwa kwa mafisadi papa na nyangumi.Nilipomuona akipayuka kutaja majina nikagundua tu huyu afanyi mambo kisomi, Bali anapayuka ili kujitafutia umaarufu wa kijinga.
Katibu MKUU necta asipofanyia kazi tuhuma hizi anajinyima uhalali wa kufanyia kazi tuhuma zozote nyingine kuhusu vyeti! Mbona rahisi tu! Ni kufuatilia vyeti vya hawa watu wawili wanaotuhumiwa kupeana vyeti kuanzia SHULE ya msingi hadi vyuoni. Ikibainika ni kweli nitasikitika sana maana wengi tunamheshimu kama Shujaa wa Taifa kuhusiana na vita dhidi ya madawa ya kulevya!
Haa ha ha ha, we jamaa wewe ujue umenichekesha sana, hasa hapo kwa boldSizonje kamuonya.....imagine jamaa yupo studio harafu RC original from Tabora anapiga simu mubashara..
Kwa iyo Mh JK ni wa Kunyumba?
Ivi yeye ndo angekua ametaja yale majina ya mafisadi Mwembe yanga, mngedai vyeti vyake?
Kwa maana hio mpaka lini? Tumsubilie tena hapo clouds maana ninaham nae sana ya kumsikiliza au kama vipi wamueke hata kile kipind cha mchana cha akina shilawaduClouds ituombe radhi maana nilijiandaa sana kumsikiliza.
Ya mwaka gani mkuu??Hivi matokeo hatuwezi. Kuyapata online
Mamlaka ya kutoa vyeti wana kesi ya kujibu! Wanapoona tuhuma kama hizi kwa nini wasitake kuhakiki! Wote hao wanasoma magazeti na wengine wamo humu. Wanakaa kimya kwa manufaa ya Nani? Kwa nini tusihisi kuwa na wao wanahusika kwa namna moja au nyingine?
Unatafuta umaarufu kwa kutukanwa??Awe Daudi awe Paul that kiumbe is awesome, that's it! Chapa kazi RC wetu!
Watanzania tumekuwa watu waajabu sana. Hivi unaongea jambo na kushabikia bila hata kuwa na uhakika. Makonda kasoma miaka ya hivi karibuni na taarifa zake Necta na shule aliyosoma zipo. Sasa mtu hajafanya utafiti na kuja na taarifa sahihi anaanza kushabikia ujinga. Tuache ujinga tukue.
Ishu itakuwa ni wanafunzi aliosoma nao na walimu waliomfundisha kumtambua.-kwa cheo na nafasi yake nauliza tu,haiwezekani kwenda necta na Kubadili data base? na kui-adjust...
au NECTA WAAMINIFU MNO?
NAOMBA KUJUZWA...!
[emoji3] sasa hili la uhakiki wa vyeti kwa watumishi halina mashiko?Awesome indeed...
Kufoji vyeti sio criminal offence...wala haihusiani na utendaji wa mkuu wetu wa mkoa aliyetukuka...
Nami nasema afoji tu, ikibidi hata cheti cha ndoa.