Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Hata ingekuwa mimi ningeingia mitini.

Kuna tuhuma za kujibu lakini sio zile.

Pole sana Kamishna BASHITE.
 
TETESI; Leo alasiri anajiuzulu kuficha aibu yake na kumlindia heshima mteuzi.
Hii haihusu kulinda heshima au kuficha aibu, kama ni kweli amevunja sheria basi ni jukumu la Jamhuri kumshtaki.
 
Wasiwasi wangu ni usalama wa maisha ya shahidi wakwanza wahii kesi (tangazaji wa kule tabora)
 
Hivi jamani Tanzania nzima hakuna mtu aliyesoma na Makonda hata primary anayekumbuka majina aliyokuwa anatumia mimi na hakika wapo hata humu JF wapo wangejitokeza na kusema tu kwasababu watu hawana dogo siku hizi tuhuma hizi sio za ukweli na hakuna anayeweza kuthibitisha mpaka sasa na zimefunikwa na vita aliyopigana mnazidi kumjenga mbele ya mkuu na anazidi kupata nguvu zaidi rudini kazini wacheni maneno
 
Sasa mlivyoanzisha uzi jana na kupanga maswali 'magumu' mlijua hatausoma?
 
Kama makonda ni msafi, kwanini asitoe vyeti vyake hadharani anaogopa nini?i smell something fishy, si suala la kupiga picha na kuviweka hadharani?afterall kama ni halali vitamjenga na kukata vilimi limi wote
Wote walioshutumiwa wachunguzwe...Nchemba. Kigangwala.Muhongo ........
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Wale wote mliowafuatiliaga kuhusu vyeti,eg Mwigulu, Kigwangala etc nini kinachoendelea?
 
Kwa hiyo mlitaka aache majukumu ya kiserikali aende kujibu hizi singeli zenu?
 
Balaa hilo
IMG-20170222-WA0020.jpg
 
Back
Top Bottom