Jamani Mimi huwa naamini humu jamii forum tuna watu wa kila aina...secta zote tunao..
Inaamaana tumekosa mfanyakazi wa necta atusaidie hii kazi ya kupata matokeo ya huyu Daud Bashite na matokeo ya paul Christian makonda??
Watumishi wa necta mliopo humu Jf tusaidiane ktk hili jambo jamoney hahaaaaaaaaaaaa
I wish I KUDU Bi a chair person of NECTA...# in baba Jessica voice[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]