Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

kwani Wananchi wanataka matokeo nenda na kile ulichofeli hata kama jina tofauti watakuelewa Ungekua Smart usimgefatiliwa maana cheo chako sio cha siasa ila umejiingiza kwenye Siasa uwe mpole tuu.
 
Dah bonge la kihiyo. Licha la kuwa maamuma aliyekubuhu jamaa öga sana. Enzi zile akiwa DC kinondoni alijificha nyuma ya polisi utadhani anacheza kombolela, madereva wa mabasi ya mkoani walipogoma ubungo bus terminal. Mwanaume Mbowe akaja huku akishangiliwa na kutuliza taharuki.

Mwenye hiyo picha atuwekee hapa.
 
Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa
Heri tumbo lililo mbeba huyu kijana shupavu! Raha tupu kwa hao wazazi! Acha uwongo!
 
Jana kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Cloudsfm walitangaza kuwa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwa angekuwepo leo kwenye Kipindi hicho 'segment' ya Kaka Kuona ili kujibu tuhuma zinazomkabili.
Sasa Muda sio mrefu Mtangazaji wa Kipindi hicho wajina wake Paul James 'PJ' amaetangaza kuwa Paul Makonda hataweza kuwepo kutokana na majukumu ya kiserikali. Kwa mtazamo wangu nimefikiri kuwa Kakakuona amegoma kuonekana.
DOGO JANJA AMEPEWA FUNUNU KUWA YULE CHRISTIAN POUL MTANGAZAJI WA REDIO AMEPANGA KUPIGA SIM LIVE ILI KUWEKA MAMBO SAWA .
DOGO KASEPA!!
 
Tena mtangazaji hakuweza kusema ni lini Mh Paul Makonda atakuwepo kwenye kipindi , ila amesisitiza mpaka wakati atakapopata nafasi
 
Awesome indeed...
Kufoji vyeti sio criminal offence...wala haihusiani na utendaji wa mkuu wetu wa mkoa aliyetukuka...
Nami nasema afoji tu, ikibidi hata cheti cha ndoa.
Well said Asprin!
 
Back
Top Bottom