Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James amethibitisha kuwa Paul Makonda hatafika katika kipindi za Power breakfast (PB) Makonda alitarajiwa kujibu tuhuma za kununua cheti za Kidato cha nne.
Kakatazwa na mamlaka za juu huwezi shutumiwa ukaita press while unajuwa wewe ni mshutiwa ngoja wanao kuchunguza wakusemee
Mwisho kama mnavyo mjuwa leo angeenda kupiga vijembe na sio kujibu hoja nakama mnavyo juwa radio ya watu ni shilawadu hakika baada ya mahojiano dar ingewaka moto na magogoni pangewaka moto sasa ili serikal isipate aibu wamemtuliza kijana wakati taratibu zingine zikiendelea
 
Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa
 
Baada ya jana clouds fm kutangaza kuwa mheshimiwa makonda atakuwepo kwenye kipindi cha power breakfast ikanilazimu kuamka na redio clouds leo kusikia kile kitakachosemwa na mheshimiwa huyo hasa kuhusu swala la cheti chake matokeo yake wanasema hatokuwepo daaah sasa naona hata media kaanza kuiona chungu haya maisha bwana basi ngoja niendee na shughuri zingine
 
Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James amethibitisha kuwa Paul Makonda hatafika katika kipindi za Power breakfast (PB) Makonda alitarajiwa kujibu tuhuma za kununua cheti za Kidato cha nne.
vipiii leo ATATII SHERIA BILA SHURUTI?
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Hahahahaaaaaa.... dah!

Hivi Kingwangwala naye ataitumia clouds kutoa ile list yake??

Maana list yake italeta sinema mpya kabisa hapa mjini. Tafadhali, Sugu asikubaliwe kupeleka majina kwa naibu waziri... hatutaki sinema ya vyeti iishie hewani...
 
Aingie mitini? Mtu kakaa kwenye kiti cha enzi, tuache kudanganyana jamani duh!
 
Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa
Naweza kuiona hiyo clip ya wazaz wake?
 
Aende studio kuzungumza Tanzania ya viwanda mengine ni nje ya Tanzania ya viwanda
 
Hahahahaaaaaa.... dah!

Hivi Kingwangwala naye ataitumia clouds kutoa ile list yake??

Maana list yake italeta sinema mpya kabisa hapa mjini. Tafadhali, Sugu asikubaliwe kupeleka majina kwa naibu waziri... hatutaki sinema ya vyeti iishie hewani...
Hahaaaaaa
Sasa ivi wanaweza kuanzisha lingine ili tusahau hili la vyeti vya RC
 
Jana kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Cloudsfm walitangaza kuwa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwa angekuwepo leo kwenye Kipindi hicho 'segment' ya Kaka Kuona ili kujibu tuhuma zinazomkabili.
Sasa Muda sio mrefu Mtangazaji wa Kipindi hicho wajina wake Paul James 'PJ' amaetangaza kuwa Paul Makonda hataweza kuwepo kutokana na majukumu ya kiserikali. Kwa mtazamo wangu nimefikiri kuwa Kakakuona amegoma kuonekana.
 
Tushindwe kufanya mambo ya msingi et kisa kujibu tuhuma ambazo zimezushwa na mkata kiuno Mange kimambii
 
Back
Top Bottom