Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Mbona tunaangaika na jamabo lililo wazi.Tuliosoma nadharia za akina Abraham Maslow na Henry Fayol kuhusi jinsi tabia za binadamu zinavyobadilishwa na ongezeko la vipato vinavyowezesha kukidhi Mahitaji muhimu hatushangazwi na haya ya Makonda wa kutoka Kolomije.
 
Wale wote mliowafuatiliaga kuhusu vyeti,eg Mwigulu, Kigwangala etc nini kinachoendelea?
Mamlaka ya kutoa vyeti wana kesi ya kujibu! Wanapoona tuhuma kama hizi kwa nini wasitake kuhakiki! Wote hao wanasoma magazeti na wengine wamo humu. Wanakaa kimya kwa manufaa ya Nani? Kwa nini tusihisi kuwa na wao wanahusika kwa namna moja au nyingine?
 
Haya mambo ni magumu! Sidhani kama amesingiziwa. Haya yalikuwa yanafanyika sana tena sana. Makonda kijana wa juzi taarifa zake zipo NECTA, it is easy to trace!
Wa kwenda kutrace ndio hakuna sasa. Ni ngumu kwa mtu wa kawaida kwenda pale NECTA kuulizia taarifa za RC.
 
Nukuu Ya Hayati Mwl Jk Nyerere
Aliposema Serikali Yangu Ameiweka Mfukoni Nikajiuliza Anamfuko Mpana Kiasi Gani ?

Wenye Akili Tukajua Tu Anatoa Rushwa!

Daudi Bashite Makonda Paul Christian Makonda Hadi Hapa Kujitakasa Utahitaji Sabuni Hizi Hapa
*Omo Multiaction
*Deltol
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
😱😱😱😱
 
Hapo ndio huwa unaniacha hoi huna mahaba kwenye mambo ya kijinga.

Ndiyo maana yake. Penye ukweli nitapongeza na penye ubaya nitakosoa bila kujali ni Chama, Dini au Mtu gani. RC Makonda aonyeshe tu ukomavu ambao aliweza kuufanya Rais Mstaafu Mzee Mwinyi huko nyuma na Waziri Mkuu mstaafu Mzee Lowassa hivi karibuni kwa kujiuzuru kwa manufaa ya Serikali, Chama Tawala na nchi kwa ujumla.
 
Binadamu wanafiki sana Jana baada ya PM kuitikia wito mkasema weeeeeeee kuwa ameitikia wito wa clouds na alipuuzia wito wa mahakama

Kaamua sasa kuwasikiliza Kwa maana ya kutokwenda mmeanza tena kulia lia ni sawa na wakati ule akiwataja wauza madawa mnalalamika asipo wataja mnalalamika

Ni ngumu sana kuwaelewa nyie watu kama ilivyo ngumu kumuelewa mwanamke
Unauhakika gani kua wewe sio mwanamke ilhali u miongoni mwa walalamikaji??
 
AISEE WATU WATU WANAJUA KUFUKUNYUA DAAHH UKIWAFUKUNYUA WANAKUFUKUNYUANYA ZAIDI......MY TAKE HAKUNA ALIYEKAMILIKA.TUJICHUNGE TUPOWABANDUA WENGINE😎😎😎
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Pengine alijua 'Kipanya' hatokuwepo baada ya kusikia yupo safarini kwa 'Madiba'..Ila Kipanya naye nooma cjui karudi saa ngapi na mapeema asubuhi kwenye kipindi na maswali yake ya kuudhi ya kwenye kugusa ukweli..kajamaa hakapindishagi...hata ungekuwa wewe ungeacha kuingia mitini?
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Watanzania tumekuwa watu waajabu sana. Hivi unaongea jambo na kushabikia bila hata kuwa na uhakika. Makonda kasoma miaka ya hivi karibuni na taarifa zake Necta na shule aliyosoma zipo. Sasa mtu hajafanya utafiti na kuja na taarifa sahihi anaanza kushabikia ujinga. Tuache ujinga tukue.
 
I wish the RC all the best with this fracas. Hatuwezi kumhukumu kwa sasa kwa sababu hakuna kitu conclusive so far. Hata mimi nilishauri asifike Clouds kama alivyokuwa amepanga. In fact, going forward, he should stop playing politics with media. He will end up destroying himself. Lakini kama kinachosemwa ni kweli, basi he has an uphill task ahead of him. Ni vigumu sana kukwepa issue ya forgery katika elimu. Kama umetumia cheti cha mtu ni lazima itajulikana tu. Huwezi kufuta nyayo kutoka primary school mpaka chuo kikuu. Lakini zaidi ya hapo, kuna watu ambao wanaweza kuthibitisha kwa sababu watu ambao tumesoma nao katika ngazi zote wapo na wanakumbuka watu waliosoma nao.
 
Back
Top Bottom