Ukilikorogwa utakunywa tuuuu.... Kwa bakuli au mrija. Maana hakuna namna!!! Tulia sasa tukunyweshe.UJINGA HAUONDOKI KWA KUMCHUKIA MWENYE AKILI, UMASKINI HAUONDOKI KWA KUMCHUKIA TAJIRI KADHALIKA NYEGE HAZIONDOKI KWA KUMCHUKIA MWENYE DEMU MKALI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa nafikiri it's high time waandishi wa Habari za kiuchunguzi wafanyie kazi hili jambo liishe...
I wish I KUDU BI Mwandishi wa Habari.. chaaa!!
Asiposhughulikia tutakuwa tunamtazama usoni wakati anakemea watu wanaotumia vyeti vya watu wengine!Hatuwezi kumfanya kitu sisi tumeitikia wito wa Ndalichako kuwataja wanaotumia vyeti vya watu, ni jukumu la Ndalichako ku deal naye.View attachment 473520
Huyo hawezi kutoa ushirikiano maana naye alitenda jinai kugawa cheti chake! Hii sakata ni ya kumalizwa na yule mama wa elimu ambaye anaheshimika kwa kusimamia viwango, yetu macho!Kwann asitafutwe huyo paul Christian wa Tabora tumsikie kwanza??
Ni rahisi sana kujibu kama tuhuma siyo za kweli! Unaenda pale na vyeti vyako tangu cha primary hadi cha chuo! Unapigia Simu live school mates wako na wakuu wa SHULE ulikosoma na makelele yote yanaishia hapo!Iv mnafikili kujibu tuhuma zote hzo ni rahisi!! Ombea usiwe ww
hahaha leo wana ile kesi ya mbowe yaani aidharau mahakama halafu awe clauds lazma wangemshika tanganyika jeki...............Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James amethibitisha kuwa Paul Makonda hatafika katika kipindi za Power breakfast (PB) Makonda alitarajiwa kujibu tuhuma za kununua cheti za Kidato cha nne.
Makonda amesema amepata dharura ya majukumu ya kiserikali.
Hyo ni moja, ya Elimu. Anazo kibao thanaNi rahisi sana kujibu kama tuhuma siyo za kweli! Unaenda pale na vyeti vyako tangu cha primary hadi cha chuo! Unapigia Simu live school mates wako na wakuu wa SHULE ulikosoma na makelele yote yanaishia hapo!
Lakini kama tuhuma ni za kweli ni ngumu sana huwezi kuthubutu! Na ukithubutu unaadhirika sana! Ni afadhali kukaa kimya na kusubiri maamuzi ya mamlaka yako ya ajira!
Tujitume kutafuta hela huyu jamaa ana 59yrs lakin njaa inamfanya aweweseke na kujiaibisha kwa ajili ya dogo ambaye anaweza kumzaaMkuu, huyu hakuwahi hata kusoma Tangazo la Katibu Mtendaji wa Necta ambalo liliwaomba wananchi kutoa taarifa za wale wanao-forge vyeti. Kama suala la cheti cha mtu ni la mwajiri, kwa nini Katibu Mtendaji wa Necta aliomba wananchi watoe taarifa?
Kwa namna ninavyomfahamu huyu jamaa, kama angekuwa kasingiziwa wakati hakufoji na vyeti anavyo visivyo na shaka lolote, nadhani angeahirisha safari ya nje ya nchi akaja na mavyeti yake tena kwa makomfidensi ili kuwatahayarisha watesi wake. Sasa nashangaa kuona anakwepa kutolea maelezo tuhuma zinazomkabili