Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James amethibitisha kuwa Paul Makonda hatafika katika kipindi za Power breakfast (PB) Makonda alitarajiwa kujibu tuhuma za kununua cheti za Kidato cha nne.

Makonda amesema amepata dharura ya majukumu ya kiserikali.
Nawashangaa wanaoshabikia saga hili,kila mtu anamwambia mwenzake achunguze.
Matokeo yote yanapatikana mtandaoni NECTA.kwana nini msiingie mkatafuta hilo jina?
 
Nawashangaa wanaoshabikia saga hili,kila mtu anamwambia mwenzake achunguze.
Matokeo yote yanapatikana mtandaoni NECTA.kwana nini msiingie mkatafuta hilo jina?
matokeo nahisi kuanzia waliomaliza 2004 ndo yanapatikana kama siyo 2003. Makonda naskia kamaliza 1998 so ni mpaka uende Necta ukayaombe.
 
-kwa cheo na nafasi yake nauliza tu,haiwezekani kwenda necta na Kubadili data base? na kui-adjust...
au NECTA WAAMINIFU MNO?
NAOMBA KUJUZWA...!
Anaweza badili Database(fields zinazomhusu) lakini hatoweza badili data za wanafunzi wengine halali wa shule aliyojibatiza(waliohitimu mwaka aliojibatiza).What if wakijitokeza na kusema hawamtambui atajificha wapi?

Labda kama alikuwa invisible student miaka yake yote ya masomo..
 
Kwa nini dareslama imevuta mkia kidato channel?!!!! """""" mkuu wamkoa popote ulipo naomba majibu!!!
 
kama ningekuwa wakili nawawakilisha washitakiwa wa unga, ningemuuliza makonda kizimbani jina lake kamili. Then nengemuuliza mwaka aliozaliwa, mwaka na shule aliyohitimu darasa la saba, form 4. Maswali hayo yote Makonda angeyajibu chini ya kiapo.
Then ningetuma wasaidizi wangu wafatilie ukweli wa majibu hayo, ikijulikana kama aliongopa chini ya kiapo, ni kosa kisheria. Hivyo ningemuomba Mh hakimu kufuta kesi kwakuwa Makonda ni muongo
 
Haya mambo ni magumu! Sidhani kama amesingiziwa. Haya yalikuwa yanafanyika sana tena sana. Makonda kijana wa juzi taarifa zake zipo NECTA, it is easy to trace!

Ni kweli... Watu kibao serikalini na mitaani wapo walipo kwa kununua vyeti vya watu.. Hii biashara ilihit sana miaka ya 2008 - going back
Kama hukuwahi kudalaliwa cheti basi ujue ulikuwa hufanyi vizuri shule au wazazi wako walikuwa na misimamo dhabiti..!
Ndalichako analijua sana hili. Ndo maana ilifikia kipindi vyeti vikaanza kubandikwa picha ya aliekifanyia mtihani!
Tukiamua kwenda njia hii hatufiki mbali sana... Wadukuzi wa vyeti ni wengi; wamejaa tele serikalini..
 
Ni kweli... Watu kibao serikalini na mitaani wapo walipo kwa kununua vyeti vya watu.. Hii biashara ilihit sana miaka ya 2008 - going back
Kama hukuwahi kudalaliwa cheti basi ujue ulikuwa hufanyi vizuri shule au wazazi wako walikuwa na misimamo dhabiti..!
Ndalichako analijua sana hili. Ndo maana ilifikia kipindi vyeti vikaanza kubandikwa picha ya aliekifanyia mtihani!
Tukiamua kwenda njia hii hatufiki mbali sana... Wadukuzi wa vyeti ni wengi; wamejaa tele serikalini..
NADHANI TUSONGE MBELE, ILA LISIRUDIWE TENA!
 
Ni mtu mpumbavu tu ndiye anaweza kufanya hivyo, ku-react kwenye ujinga na uhasama na siasa za mitandaoni
Kwa hiyo upo humu kutetea jinai au? kama hii ni siasa mbona yey amekuwa gwiji wa siasa za kipumbav hii inaitwa "aanzae mmalize" hapa ni cheti tu mdomo hatutaki! akileta cheti hoja hii itafungwa
 
matokeo nahisi kuanzia waliomaliza 2004 ndo yanapatikana kama siyo 2003. Makonda naskia kamaliza 1998 so ni mpaka uende Necta ukayaombe.
Afadhali umemjibu maana humu kuna watu wanapenda kuongea tu bila kufahamu wanachoongea
 
Kwa mujibu wa tetesi za mitandaoni wangemualika Daudi Bashite angekuja maana yupo hapo hapo Dar ila P Makunda yuko mbali asingeweza kufika kwa short notice hiyo!
 
Sijamsikia mama ndakichako mpaka sasa na nimeamini kijana anaogopwa sana pamoja na kujulikana wazi ni mfanyakazi hewa
 
Back
Top Bottom