Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Necta ndoo washenzi wanashindwaje kumuumbua huyu jamaa ndoo maana nasema watu wa chini ndoo wanasumbuliwa lakini wanaccm wa juu ya sheria wajinga sana hawa swala la kuhakiki vyeti ni jukumu la necta kwanini wanakwepa ?
 
Atakuwa kasoma maoni ya watu kwenye mitandao ya kijamii we kila siku unauza sura kwenye redio ameona watu wengi wanahoji cheti chake akaona isiwe taabu miguu si yangu basi bora kukimbia atakimbia weee mwisho ataingia tunduni
 
Ninesubiri bila mafanikio ujio wa Mheshimiwa katika studio za clouds. Ila baadaye mambo yatajulikana tu mubashara.

Any way

Anatoa ahadi za uongo za nini??
Hakujua ratiba yake ya majukumu Mheshimiwa???
Au alikuripuka?

Poa tu ila clouds wameomba radhi lakini pia wamesema akipata muda anaweza kutoa ushirikiano.

Swali kwa watu wa Dar, mmefanya nini mapema hii hadi kubadili uelekeo wa mkuu wenu?

Any emergency please
 
Back
Top Bottom