Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
mwacheni afanye kazi bhana kwani cheti ni nini watu tuna vyeti og tunaumbuka mtaani tu
mungu mkubwa nae upstairs hayuko vizuri au mmoja wao.......[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] nini tena Mungu mtoto?
Thubutu,kamwe hawezi fanya hivyo,unless ushahidi wa vyeti utolewe wazi waziTETESI; Leo alasiri anajiuzulu kuficha aibu yake na kumlindia heshima mteuzi.
Yeah biashara yeyote isiyo halali, Biashara haramu ndo huitwa Smuggling mtu anaitwa Smuggler sema inakua inafanyika outside BordersJamani, hivyo smuggling ni right word?
Kwa upande wako ndugu yangu!Chapa kz chapa kz....hii ndo lugha y ccm lkn hkn kz mnayofany zaid ya maneno mengi.Tokea awamu hii ya usaniii waingie madarakn ni full filamu hkn kz
Maswali aliyotakiwa kujibu sio ya mchezo.Nahisi angejimaliza kabisa.Usicheze na binadamu wakiamua kukufuatilia utaumbuka.
Unamtetea sana daudi ni anko wako niniAingie mitini? Mtu kakaa kwenye kiti cha enzi, tuache kudanganyana jamani duh!
Kwenyr ukweli tuongee ukweliAingie mitini? Mtu kakaa kwenye kiti cha enzi, tuache kudanganyana jamani duh!
Mimi mwenyewe nimefungulia redio tangu saa kumi na mojaClouds ituombe radhi maana nilijiandaa sana kumsikiliza.
Tuhuma au ni ukweli mtupu??Tushindwe kufanya mambo ya msingi et kisa kujibu tuhuma ambazo zimezushwa na mkata kiuno Mange kimambii
Ha ha ha....!Awe Daudi awe Paul that kiumbe is awesome, that's it! Chapa kazi RC wetu!
Ni kweli kabisa yani sio uzushiTushindwe kufanya mambo ya msingi et kisa kujibu tuhuma ambazo zimezushwa na mkata kiuno Mange kimambii
Balaa hiloSizonje kamuonya.....imagine jamaa yupo studio harafu RC original from Tabora anapiga simu mubashara..