Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Haya mambo huwa yanafanya nimkumbuke sana mwalimu wangu wa primary (Apumzike kwa amani), alikua anatuhusia sana juu ya nidhamu na matokeo mazuri tukiwa shuleni, alikua anasema ipo siku mtakua viongozi katika taifa hili watu watafika hapa shuleni kutaka kujua taarifa zenu wakikuta taarifa mbaya mtakua mmejiharibia maisha yenu.
 
Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa
tehe tehe tehe yamemkuta
 
Kutokana na kubanwa majukumu ya kiserikali Mh. Paul Makonda kwa leo hataweza kujibu tuhuma zinazomkabili hadi hapo siku nyingine itakapotangazwa tena.
Anatoa ahadi za uongo za nini??
Hakujua ratiba yake ya majukumu Mheshimiwa???
Au alikuripuka?

Poa tu ila clouds wameomba radhi lakini pia wamesema akipata muda anaweza kutoa ushirikiano.

Swali kwa watu wa Dar, mmefanya nini mapema hii hadi kubadili uelekeo wa mkuu wenu?

Any emergency please
 
Binadamu wanafiki sana Jana baada ya PM kuitikia wito mkasema weeeeeeee kuwa ameitikia wito wa clouds na alipuuzia wito wa mahakama

Kaamua sasa kuwasikiliza Kwa maana ya kutokwenda mmeanza tena kulia lia ni sawa na wakati ule akiwataja wauza madawa mnalalamika asipo wataja mnalalamika

Ni ngumu sana kuwaelewa nyie watu kama ilivyo ngumu kumuelewa mwanamke
 
Hahahahaha mzee wa kila jambo anaita media duuuuu leo imekuwaje huenda taarifa zina ukweli ndani yakee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kala kona? kuna uzi humu jana jamaa alitoa ushauri asiende coz ataumbuka naona ametii bila shurti

Hii itakuwa amebadili gia uvunguni
 
Jana kwenye kipindi cha Power Breakfast cha Cloudsfm walitangaza kuwa Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwa angekuwepo leo kwenye Kipindi hicho 'segment' ya Kaka Kuona ili kujibu tuhuma zinazomkabili.
Sasa Muda sio mrefu Mtangazaji wa Kipindi hicho wajina wake Paul James 'PJ' amaetangaza kuwa Paul Makonda hataweza kuwepo kutokana na majukumu ya kiserikali. Kwa mtazamo wangu nimefikiri kuwa Kakakuona amegoma kuonekana.
Hahahaaaa wewe jamaa bwana, ati, KAKA KUONA KAGOMA KUONEKANA.
 
Back
Top Bottom