Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Kwann asitafutwe huyo paul Christian wa Tabora tumsikie kwanza??
 
Hivi Protocally Mkuu wa Mkoa huwa anatakiwa kujua ratiba zake za siku ya Kesho jioni atokapo Ofisini au usiku wa manane na alfajiri? Nyie Clouds Media Group na huyo Makonda wenu endeleeni tu kutufanya Wana Dar es Salaam ni Mangumbaru ila ipo siku mtakuja kuaibika pale ambapo ukweli utakapojulikana.
Umenena kweli Mkuu..
Maana wamesema sababu ni kwamba ana shuguli ya kitaifa..
Shuguli gani hiyo ya kitaifa ambayo haikuwa kwenye schedule mpaka aijue asub ya leo??
Ngoja tuone leo kutakuwa na shuguli gani ya kitaifa.
 
-kwa cheo na nafasi yake nauliza tu,haiwezekani kwenda necta na Kubadili data base? na kui-adjust...
au NECTA WAAMINIFU MNO?
NAOMBA KUJUZWA...!
Inabidi wawe makini nahisi anafanya mchakato wa kubadili then aje kwenye vyombo vya habari.na kwamiaka akiyomaliza 4m 4 hakokamchezo kakuchukua majina ya watu waliokufa au kushindwa kuundelea na shle yalikuwa yanauziwa watu kama huyo.
 
Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa

Hao Wazazi wake wakati Mtoto wao akidanganya walikuwa hawajui au wamejua leo kwakuwa wanajua Kitumbua karibuni kinaenda kuingia mchanga hivyo maisha yao yanaweza kuwa magumu? Kama ni kweli hao Wazazi wake walikuwa wanasikitika juu ya Mtoto wao basi naona akili zao hazitofautiani na za Mtoto wao kwa kuwa za hovyo hovyo. Na hii ndiyo aina ya Wazazi Wanafiki wengi waliopo nchini Tanzania. Kujitokeza Kwao leo kuzungumza na Media naona wamechelewa mno na ni kama vile sasa wanapaka rangi upepo tu.
 
Labda kaenda TBC...

Naona hii Clouds hivi sasa ndio Radio ya Taifa.

Inaelekea JPM anaisikiliza sana clouds ndo maana vijana wake wanapigana vikumbo kuitumia ili bwana mkubwa ausikie utendaji kazi wao uliotukuka wa kutumbua na kuumbua na kutishia...
ndio ubwege mwingine wa serikali hii ya awamu ya tano
 
Kapigiwa simu cheti chake cha kufoji bado akijatoka so atulize mshono kdogo...atakuja next week
 
Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa
Mkuu tuwelee basi hiyo clip ya wazazi tuone maana uongo na ukweli na kama mafuta na maji
 
Issue ya Cheti lazima imdondoshe.

Na nashangaa mpaka leo aliyemteua anachelewa kumtengua wakati hii ni Kashfa kubwa mno hasa katika ngazi zozote zile za Kiuongozi au Kiutawala popote pale duniani.
 
dhambi ya kutaja majina ya watu kwenye kashfa bila uthibitisho inamtafuna.
Kama amefoji chet hashindwi kufoji majina ya wauza madawa ingali wanaouza na kusambaza mubashara hawakamatwi.kwa wenye akili wataelewa.nyota njema huonnekana asubuhi[emoji2] .
 
Hahahahaha mzee wa kila jambo anaita media duuuuu leo imekuwaje huenda taarifa zina ukweli ndani yakee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] [emoji106]
 
Hahaha kafoji cheti anaona aibu kujitokeza na kusema hadharani maana anajua kuna watu wanamuumbua
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
wanasheria wake watakua wamemtonya
 
Back
Top Bottom