Pale necta kuna watu hawampendi pia, watakisanua
The jungle isn't Enough to hide David.You can run but you cant hide!
You can run away, but you cant run away from yourself!!
Anatoa ahadi za uongo za nini??
Hakujua ratiba yake ya majukumu Mheshimiwa???
Au alikuripuka?
Poa tu ila clouds wameomba radhi lakini pia wamesema akipata muda anaweza kutoa ushirikiano.
Swali kwa watu wa Dar, mmefanya nini mapema hii hadi kubadili uelekeo wa mkuu wenu?
Any emergency please
Kumbe na yeye jiwe[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ,nimecheka sanaaHakuna Jiwe litakalo SaliaJuu ya Jiwe lingine
Mbona na mimi nimekuwa na wasi wasi gafla baba mkubwa anaweza agiza kibadilishwe chap chap.-kwa cheo na nafasi yake nauliza tu,haiwezekani kwenda necta na Kubadili data base? na kui-adjust...
au NECTA WAAMINIFU MNO?
NAOMBA KUJUZWA...!
Hayo cha MTOTO kuna watu waliopinda wangeweza kumwuliza mubashara kuhusu tuhuma aliyoitoa Sugu bungeni! Sasa kuna sababu gani ya kujiweka katika mazingira ambayo kuna uwezekano wa kuulizwa swali la kukera kutoka kwa watu waliopinda?Maswali aliyokuwa anatakiwa kujibu ni magumu sana hasa la Cheti feki na utajiri wa ghafla.
Hata angekuwa agata edward ndo kashakuwa Rc wako sasa
Nadhani kuanzia mwaka 2003 kushuka chini huwezi pata matokeo online hadi uende necta wakupatie wenyeweHivi matokeo hatuwezi. Kuyapata online
Hivi mlitegemea angeenda kujibu hizo shutma?
Hapo ndio huwa unaniacha hoi huna mahaba kwenye mambo ya kijinga.Kwa Kitendo hicho tu tayari ameshaonyesha jinsi alivyo irresponsible hivyo hafai kuwa Kiongozi. Atafutiwe Kazi nyingine tafadhali.
Shilawadu, tunawaona, hatuwataki kabisa mnamficha tu mwaliwetu.Tena mtangazaji hakuweza kusema ni lini Mh Paul Makonda atakuwepo kwenye kipindi , ila amesisitiza mpaka wakati atakapopata nafasi
agizo litatoka kwa drink ole wake mtu amzingue kondaPale necta kuna watu hawampendi pia, watakisanua
TETESI; Leo alasiri anajiuzulu kuficha aibu yake na kumlindia heshima mteuzi.