Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Nachotaka kujua Ndalichako matamko yameisha au hizi kelele hazisikii? Mwenye email au number za simu za huyu waziri tafadhali mtuwekee hapa tumfuate inbox direct.
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Basi hata heka heka au jahazi. Ikiwezekana hata Soudy Brown amtafute kwenye simu. Naomba clouds ijitahidi kum accommodate kwa kadri inavyowezekana. Lakini azungumzie elimu yake na elimu ya watoto wetu wa Dar Es salaam waliofeli.
 
Janjaroo niaje MJOMBA, usibabaike na hao jamaa aisee, Si utoe tu vyeti vya Sec. Kama maujanja kisanue hii game iishe
 
Binadamu wanafiki sana Jana baada ya PM kuitikia wito mkasema weeeeeeee kuwa ameitikia wito wa clouds na alipuuzia wito wa mahakama

Kaamua sasa kuwasikiliza Kwa maana ya kutokwenda mmeanza tena kulia lia ni sawa na wakati ule akiwataja wauza madawa mnalalamika asipo wataja mnalalamika

Ni ngumu sana kuwaelewa nyie watu kama ilivyo ngumu kumuelewa mwanamke
Kwani sisi tulimtuma
 
Hivi nchi hii,vilaza,vihiyo ni walala hoi tu?zoezi la uhakiki wa vyeti liliwalenga watu gani?Na bado naambiwa wanaendelea kuhakiki,kama kuna mahali hatuelewi vizuri weka pambeni,kuna makada wengi tu vijana wanaweza kushika hiyo nafasi ya mpenda sifa
 
Ndio maana uhakiki wa vyeti ni wa kuzunguuka mbuyu hawa ndio wanaosababisha tusipate nyongeza ya mshahara wala tusiruhusiwe kuhama
 
Awesome indeed...
Kufoji vyeti sio criminal offence...wala haihusiani na utendaji wa mkuu wetu wa mkoa aliyetukuka...
Nami nasema afoji tu, ikibidi hata cheti cha ndoa.
I believe it is. Forgery yeyote ni criminal offence. Manji yuko mahakamani kwa forgery. Rais mwenyewe alisema hamna aliyejuu ya sheria. Kama kuna matabaka tujulishwe.
 
Vipi kijana leo UTATII SHERIA BILA SHURUTI?
Sharia ya nchi yangu lazima ni itii maana mimi ni mfanya biashara na nina creat new business everyday, in order for me to do these, I have to sustain positive mind with no distructions! Siku njema ndugu yangu..,
 
Kama makonda ni msafi, kwanini asitoe vyeti vyake hadharani anaogopa nini?i smell something fishy, si suala la kupiga picha na kuviweka hadharani?afterall kama ni halali vitamjenga na kukata vilimi limi wote
 
Si rahisi kukikalia kitimoto kwa hiari
[emoji23] ila kashanitia shaka ,,kwa jins anavyojua kuupinga uongo angefika haraka sana tuwe na subira huenda ataita press conference kuzungumzia hilo kama alivyorud kulisawazisha jina l mbowe
 
Yupo chimbo 'ana detox vyeti alivyonunua' atajuta kudhalilisha watu mwaka huu, anasingizia watu wanauza unga kumbe naye ni mwizi wa makaratasi
 
Back
Top Bottom