Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Tisha sana!
 
Mheshimiwa ana akili sana za kuweza kuwateka akili watu, kwa kwali atashinda anachokipigania mana hakauki midomoni mwa watu.
 
Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James amethibitisha kuwa Paul Makonda hatafika katika kipindi za Power breakfast (PB) Makonda alitarajiwa kujibu tuhuma za kununua cheti za Kidato cha nne.

Makonda amesema amepata dharura ya majukumu ya kiserikali.

Aibu ya mwaka mpiga zeze kakimbia kuulizwa ununuzi wa cheti
 
Msemaji wa ndugu Daudi Bashite Mr lizabon tunaomba utuletee mrejesho ni kwa nini asababishe tuache usingizi wetu na wengine tukaomba ruhusa ya kuchelewa kwenda kazini ili tumsikilize anavyosema kuhusu majanga aliyonayo na hatimaye kaingia mitini. Je tukishitaki atatulipa gharama za usumbufu?
 
Huyu jamaa alivyokuwa anapenda kiki za Media Leo hii anakuwa wa kuingia mitini.....? Kweli kila kitu kina mwisho wake either mbaya au mzuri

Nahamia kwenye kochi niendelee kuitizama hii sinema
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.

Kwani hajitaki??
 
Lini sasa atazungumza kuhusu huu mkanganyiko..?!
 
Waziri Ofisi ya Rais Utumishi Angellah Kairuki si alisema mtumishi asietuma Index number Baraza la mitihani mpaka tarehe 1.3.2017 atakaua amejifukuza kazi mwenyewe hapo je??
 
Awe Daudi awe Paul that kiumbe is awesome, that's it! Chapa kazi RC wetu!
Chapa kz chapa kz....hii ndo lugha y ccm lkn hkn kz mnayofany zaid ya maneno mengi.Tokea awamu hii ya usaniii waingie madarakn ni full filamu hkn kz
 
Back
Top Bottom