KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,314
Unadhani hawezi jibu! hata hao mliodaigi wamefoji vyeti mliwashurutisha wajibu tuhumu, walipojibu mliwafanya nini?Swali lako halitobadili hoja iliyopo mezani hivi sasa..
RC wa Dar ajibu hizi tuhuma..
Basi.