Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

mkuu huko ndo kunakoitwa kujitoa kwa ajili ya Mungu, ukifata matamanio ya mwili basi kuna mambo mengi sana utalazimika kuyafata, mwili ni mdhaifu sana kama hutaamua kuuzuia. Pia nikuambie tu hizo shahawa na nyege zinazuilika kwa namna zingine kama vile kufanya mazoezi na kuwa busy na kazi, mtu aliye busy na kazi wala hayo hawezi kuwa na hamu nayo, kama umepitia JKT utanielewa, mawazo ya ngono siku zote ni kwa watu wasiokuwa na kazi yaani iddle mind.
Tusidanganyane kuna vitu 4 havizuiliki hazina baunsa


1.kifo
2.njaa haina baunsa
3.usingizi
4.Nyege


Kaa miezi 8 tu bila kufanya ngono au kujichua ,shahawa zitakuwa nyingi mno na hapo jifanye upo busy ,Fanya mazoezi lkn bado nyege zitakuendesha tu hapo sisemi mwaka

Nature ya Mungu huwezi kufight nayo ,..njaa ,usingizi na nyege

Mwanaume anayekula vyakula hivi zenye mafuta ,..shahawa zikiwa nyingi ni kama vile njaa ikukamate ,..hili suala napingana nayo sana

Huwezi kujitoa kwa Mungu kipindi njaa imekukamata ,usingizi umekushika na nyege ikushike mwezi utavumilia ,miezi 2 utavumilia ,3 ,4 ,5 lazima utakengeuka tu

Mazoezi ,busy sio solution
 
Tusidanganyane kuna vitu 4 havizuiliki hazina baunsa


1.kifo
2.njaa haina baunsa
3.usingizi
4.Nyege


Kaa miezi 8 tu bila kufanya ngono au kujichua ,shahawa zitakuwa nyingi mno na hapo jifanye upo busy ,Fanya mazoezi lkn bado nyege zitakuendesha tu hapo sisemi mwaka

Nature ya Mungu huwezi kufight nayo ,..njaa ,usingizi na nyege

Mwanaume anayekula vyakula hivi zenye mafuta ,..shahawa zikiwa nyingi ni kama vile njaa ikukamate ,..hili suala napingana nayo sana

Huwezi kujitoa kwa Mungu kipindi njaa imekukamata ,usingizi umekushika na nyege ikushike mwezi utavumilia ,miezi 2 utavumilia ,3 ,4 ,5 lazima utakengeuka tu

Mazoezi ,busy sio solution
Ni ngumu kwa tajiri kuurithi ufalme wa mbinguni, sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, matajiri wataurithi uzima wa milele kwa neema tu. Lisilowezekana kwa mwanadamu kwa Mungu linawezekana, nikuambie tu mkuu ukimtumainia Mungu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yako kila kitu chawezekana kabisa. Tatizo lako unaweka ubinadamu.
 
hilo wala lisitishe Kanisa la Mungu, Mungu atatoa mapadre sehemu zingine za Dunia na kupeleka huko Brazil kama wakati ule alipokuwa anawatoa wazungu kuja Afrika.
Mkuu kwani mapadri wakioa kutakuwa na tatizo lolote kwa kanisa la Mungu?
 
Mkuu hujaelewa lengo la kuruhusu waoe sio kwamba mapadri ndio wanataka bali vijana wengi wanaukacha upadri kisa hataoa, sasa huko brazil kuna uhaba wa mapadri sana yaani watu wanaojiunga na upadri ni wachache kuliko mapadri wanaoded
Sio Brazil tu ni tatizo la nchi nyingi, kuna parokia zinatarajiwa kufungwa huko ulaya na marekani kisa wito wa kuwa padri unapungua, na mapadre wengi wanaacha na kwenda kuoa. Wengine wanajuta baada ya kuzeeka kwani wanaishi maisha ya upweke. Vijana wa siku hizi hawataki hii aina ya maisha ya unafiki
 
My point kwann huwa mnawaangali Makasisi wa Kanisa Katoliki...???

Vp kuhusu wanandoa leo wenye michepuko ya kutosha wkt tayari wameshafanya Maagano na Mungu mbele ya Kanisa....????

Vp hao Wachungaji walioachwa na Luther leo hii tunapishana nao guest houses na wakiwa na wanawake nje ya wake zao....???!

Vp Mashekhe leo wamekuwa wakitanua na wabinti nje ya ndoa zao...???

Kwanini mnalitolea macho Kanisa Katoliki tuu....????
Kuna tatizo kubwa la ukosefu wa mapadri sehemu nyingi duniani, parish nyingi zinafungwa sababu vijana wanataka kuishi maisha ya familia. Kumbuka huu utaratibu umefanywa kuingizwa RC haukuwepo, ukisoma historia utaona viongozi wa zamani wa RC walikuwa wameoa.
 
Siungi mkono kabisa hoja hyo,,,,maan altare n sehem takatifu xo huwez kwenda sehem takatifu huku umezini banaaa
Hahahhaha ndio naona hujielewi, nani kakuambia kuoa ni kuzini, kwa taarifa tako asilimia kubwa ya mapadri wana wake wasiokuwa rasmi
 
hilo wala lisitishe Kanisa la Mungu, Mungu atatoa mapadre sehemu zingine za Dunia na kupeleka huko Brazil kama wakati ule alipokuwa anawatoa wazungu kuja Afrika.
Mkuu nimependa aina ya majibu unayoyatoa...!!!

Kuna watu wako macho usiku na mchana kuona hilo likitukia ndani ya Kanisa ila wanatakiwa wajue historia ndefu na ngumu ya Kanisa, haya mambo yanayotukia leo yatapita kimyakimya kutokana na uzoefu Mkubwa wa kukabiliana na changamoto ktk historia yake...

Watangoja sana hao....!!!
 
Mkuu nimependa aina ya majibu unayoyatoa...!!!

Kuna watu wako macho usiku na mchana kuona hilo likitukia ndani ya Kanisa ila wanatakiwa wajue historia ndefu na ngumu ya Kanisa, haya mambo yanayotukia leo yatapita kimyakimya kutokana na uzoefu Mkubwa wa kukabiliana na changamoto ktk historia yake...

Watangoja sana hao....!!!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mkuu Kanisa Katoliki sio kijiwe cha kahawa..!!hiyo taarifa sio ndg kama unavyofkr...!!!

Mtoa mada anasema source Mwananchi..!! Sasa najiuliza hbr nyeti kama hiyo iweje itangazwe chombo kidogo kama Mwananchi peke yake..???au mtoa mada taarifa kaipika chumbani kwake alafu akawamezesha Mwananchi...???

Kwa nijuavyo Kanisa Katoliki(VATICAN) ni Dunia..!!kunapokuwa na taarifa tetanishi kama hii sio chombo kdg kama Mwananchi tuu,ungesikia CNN,BBC,DW,nk.

Pengine cjaweza kuzipata huko vyombo vya hbr vya kimataifa hebu niletee au niambie Mwananchi wamezipata wapi...????sio kwamba nawazarau Mwananchi bali kwa unyeti wa VATICAN na HBR YENYEWE...!

Karibu mkuu...
Hii habari imeandikwa sana na vyombo vya nje mfano independent uk etc , na litajadiliwa na kufanyiwa maamuzi, ni kwa ajili ya Brazil ila kuna uwezekano na nchi nyingine wakaomba. Unaju kwamba Eastern Right Catholic Church mapadri wao wanaoa?
 
My point kwann huwa mnawaangali Makasisi wa Kanisa Katoliki...???

Vp kuhusu wanandoa leo wenye michepuko ya kutosha wkt tayari wameshafanya Maagano na Mungu mbele ya Kanisa....????

Vp hao Wachungaji walioachwa na Luther leo hii tunapishana nao guest houses na wakiwa na wanawake nje ya wake zao....???!

Vp Mashekhe leo wamekuwa wakitanua na wabinti nje ya ndoa zao...???

Kwanini mnalitolea macho Kanisa Katoliki tuu....????
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Sio Kulishwa...Kanisa Katoliki limeanzishwa na Yesu Kristo mwenyewe chini cha Mwamba Petro ambaye ni Baba Mtakatifu wa kwanza..


BTW: turudi hapo uliponi-quote...ulitaka kusemaje kuhusu Orthodox Church (Eastern) na Catholic Church(Western)..?
😀😀😀😀😀😀😀😀😛😛😛😛😛😛
 
Leta hiyo source ya habari inayoonesha pope kaleta wazo...hakuna...Usifikiri papa anaweza toa kauli sensitive kiasi hicho akaachwa....Papa ni Ofisi....

Hata Homily(Mahubiri) ya Jumapili anayota yeye lazima yawe kwaandishi na yapitiwe....yote hayo ni kuepusha kutoa kauli za matakwa yake ambazo zitalibomoa dunia! Yes! Dunia..sio kanisa....

Kauli moja ya Papa yenye ishu sensitive inauwezo wa kuibadili dunia....

Kanisa katoliki papa akitaka kutoa kauli juu ya Jambo fulani la kiimani au maslai ya Kanisa kuna kitu inaitwa encylicle imayosambazwa duniani kote...mbali na hapo ni uzushi na uzandiki kupima upepo
😀😀😀😀😀😀😀😀😛😛😛😛😛😛😀😀😀😀😀😛😛😀😀😀😀
 
Mkuu Kanisa Katoliki sio kijiwe cha kahawa..!!hiyo taarifa sio ndg kama unavyofkr...!!!

Mtoa mada anasema source Mwananchi..!! Sasa najiuliza hbr nyeti kama hiyo iweje itangazwe chombo kidogo kama Mwananchi peke yake..???au mtoa mada taarifa kaipika chumbani kwake alafu akawamezesha Mwananchi...???

Kwa nijuavyo Kanisa Katoliki(VATICAN) ni Dunia..!!kunapokuwa na taarifa tetanishi kama hii sio chombo kdg kama Mwananchi tuu,ungesikia CNN,BBC,DW,nk.

Pengine cjaweza kuzipata huko vyombo vya hbr vya kimataifa hebu niletee au niambie Mwananchi wamezipata wapi...????sio kwamba nawazarau Mwananchi bali kwa unyeti wa VATICAN na HBR YENYEWE...!

Karibu mkuu...

aaaaaaachaacha chaa chaa 😛😛😀😀😀😀
 
Mkuu jambo hili halitafanyika katika staili tu ya kubonyeza button na kila mtu kuanza kuoa. Kanisa Katoliki liko makini sana. Kujikatalia kuoa au kuolewa haikuzuka tu bali kulikuwa na sababu za msingi. Toka mwanzo wa Kanisa mapadri walikuwa wanaoa. Yako mazingira baadaye yalikuja kulazimisha watawa wasioe wala kuolewa. Hata hivyo sio jambo geni katika Kanisa. Wako Mapdri waliopokolewa toka Anglican Church wameendelea kuwa na ndoa zao.

Ninasubiria taarifa rasmi toka vyanzo vya Kanisa. Ninayo access ya matukio yote ya Papa Francis kila siku ila hii stori sijaiona! Hata siku ikitokea watawa kuruhusiwa kwa Kanisa zima kutakuwa na exceptions kadhaa na mahali kadhaa.


Kwa Afrika suala hilo linaweza kuua uinjilishaji kabisa. Waumini hawataweza kuhimili kugharimia mahitaji ya familia zitakazotokana na ndoa hizo. Moja ya sababu ni extended families. Lingine ni ukubwa Wa familia. Waafrika idadi ya watoto inaamuliwa na wanandoa na wala sio sheria. Tatu itabidi watawa walipwe mishahara ili wakae nje ya Parokia na ma-converts. Je,unafikiria mshahara gani utamtosha Padri au mtawa ili akidhi mahitaji ya maisha ya familia yake na wategemezi wake? Na vigezo gani vitatumika kumlipa Padri huyu mshahara ule au huu?

Je, pale Padri mmoja mmoja atakapohitaji kuishi na familia yake maisha fulani hivi ya juu zaidi kwa sababu ya shinikizo la mwanamke au watoto nani atagharimia hilo? Je, sio ndio chanzo cha kujiingiza kwenye biashara na mikopo ya pesa toka benki na kwa waumini? Je, ikitokea hivyo unaziona social problems zitakazoibuka?

Kwa hiyo ni jambo gumu kidogo na sio rahisi kihivyo.
iiiiiinkhii nkhiii nkhi nkhiiiii aaaaahahaahaahaaaaa 😛😛😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom