Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Hahaa ...dini inapobadili misimamo yake ...sasa kama n sheria ya mung VP papa aibadili ???
Licha kuwa s mafundisho ya kwanza issa (peace be upon him ) siku zote mung anawatakia watu wake mepes na s mazito .....wameikataa asili ya mwanadam kuwa na matamanio . .wanataka kushindana na na nature yao matokeo ndo ubakaji

Allah amewazungumzia kweny Quran kuwa hawakuamrshwa hayo ispokuwa walitaka njia ya kujikurubsha karibu na mung wakaona kuwa na wanawake n uchafu....matokeo yke wakachupa mipaka ...jpo lengo lao lilikuwa zur


Na wakristo muone sasa kuwa hii si dini warud kwenye dini ya maumbile yao ambayo n uislamu ...sabb ndiyo dini ya haki kama Allah alivosema ktk Quran

" elekeze uso wako katika dini iliyosawa ...ambayo n maumbile ya asili ya mwanadamu ...na hutokuta mabadiliko ktk mambo ya mwenyez mung"


Na akasema

". Hii ndo dini ya haqq lakin watu weng hawajui
 
Bor aruhusu ili kuzuia zile 'tetesi' za mapadri kutafuna masista.
 
ataepusha watoto waliokuwa wakiliwa na hao waumini
 
kwan muongozo wa padr kutokuoa uliletwa na nani na nani anaweza kuutoa
 
Ok! Je! Yesu mwenyewe alioa..?

Kama tunafuta kwa uhalisia maisha ya Yesu..
Usisahau pia hata Yesu mwenyewe
1/Hakubatiza watu(wanafunzi wake ndio walikuwa wakibatiza), japokuwa alihubiri na kuwataka watu wabatizwe.

2/Alitahiriwa akiwa na umri wa Siku nane.

3/Yesu alibatizwa akiwa mtu mzima tena mto Jordan.

4/Yesu alikuwa myahudi na aliishi kiyahudi na akihubiri kwenye nchi ya wahuyudi tu.

Sasa ukijenga hoja kuwa mapadri wa kikatoliki wanafuata life style ya Yesu inabidi uzingatie mambo yote aliyopitia Yesu kimsingi.
 
Usisahau pia hata Yesu mwenyewe
1/Hakubatiza watu(wanafunzi wake ndio walikuwa wakibatiza), japokuwa alihubiri na kuwataka watu wabatizwe.

2/Alitahiriwa akiwa na umri wa Siku nane.

3/Yesu alibatizwa akiwa mtu mzima tena mto Jordan.

4/Yesu alikuwa myahudi na aliishi kiyahudi na akihubiri kwenye nchi ya wahuyudi tu.

Sasa ukijenga hoja kuwa mapadri wa kikatoliki wanafuata life style ya Yesu inabidi uzingatie mambo yote aliyopitia Yesu kimsingi.
Kwenye Ubatizo hapo pana utata...
Pia Yesu hakuwahi kuhubiri ubatizo.....
 
Hoja hii ya Papa sasa inadhihirisha wazi wazi kuwa....

1/Maisha ya kutokuoa ya mapadri wa kikatoliki ni jambo zito sana linalosumbua kanisa katoliki kwa sasa. Hakuna tena ujanja, ni lazima mjadala wake uwepo ndani ya kanisa katoliki.

2/Utaratibu wa mapadri kutokuoa ulikuwa ni utaratibu uliotungwa tu na mapapa waliopita na wala sio msingi wa kiimani katika ukristo.

3/Sio kweli kuwa Ukatoliki ndio ukristo halisi wa kwanza alioishi Yesu na wanafunzi wake bali ni dini iliyotengenezwa kufuata mapokeo ya kitamaduni, mazingira na wakati huku ukipaka paka ukristo juu yake. Kwa sababu kanuni na taratibu zake zimekuwa zikibadilika badilika kila wakati.

4/Dhehebu la Kikatoliki sio dhehebu pekee lililobakia salama katika ukristo katika kukwepa mabadiliko ya ndani. Ukatoliki ulibadilika, unabadilika na utazidi kubadilika.

5/Papa ni kiongozi wa kawaida wa kidini hapa duniani, hana Upekee wa kimungu, anaweza kushawishiwa na watu, anatumia Akili za kawaida za kibinadamu katika kufikiri, kuongea na kuamua, Papa anaweza kukosea, anaweza kupingwa na kukosolewa vikali kabisa na wakatoliki wenyewe pasipo woga wowote.
 
Kwenye Ubatizo hapo pana utata...
Pia Yesu hakuwahi kuhubiri ubatizo.....
Sio kweli kuwa Yesu hakuwahi kuhubiri ubatizo, biblia inasema Yesu wakati anapaa mbinguni alitaka watu wote watakaompokea basi wabatizwe. Ubatizo unakufanya uwe mwanafunzi wa Yesu.
Regardless ya Jinsia, umri, taifa, kabila nk. kikubwa wamempokea ubatizo ni haki yao.
 
Sio kweli kuwa Yesu hakuwahi kuhubiri ubatizo, biblia inasema Yesu wakati anapaa mbinguni alitaka watu wote watakaompokea basi wabatizwe. Ubatizo unakufanya uwe mwanafunzi wa Yesu.
Regardless ya Jinsia, umri, taifa, kabila nk. kikubwa wamempokea ubatizo ni haki yao.
Hilo andiko ni la uongo. Soma biblia vizuri...
 
Usisahau pia hata Yesu mwenyewe
1/Hakubatiza watu(wanafunzi wake ndio walikuwa wakibatiza), japokuwa alihubiri na kuwataka watu wabatizwe.

2/Alitahiriwa akiwa na umri wa Siku nane.

3/Yesu alibatizwa akiwa mtu mzima tena mto Jordan.

4/Yesu alikuwa myahudi na aliishi kiyahudi na akihubiri kwenye nchi ya wahuyudi tu.

Sasa ukijenga hoja kuwa mapadri wa kikatoliki wanafuata life style ya Yesu inabidi uzingatie mambo yote aliyopitia Yesu kimsingi.
Hiyo quote yangu umeielewa..!?? Maana umekurupuka tuu kuni-quote angali mimi nilikuwa na mjibu mtu
 
Next time learn to read careful what is written before you reply but i wish you well and God Blessings.
Kwani wapi sijasoma kwa umakini..???

Nilinukulu maneno yako mwenyewe yanayosema "even to our country"..!!!sasa hapo kuuliza country unayotoka wewe kwasababu:
1.Humu JF kuna watu kutoka mataifa mbalimbali ya East Africa/Africa/Overseas..!!!kwahyo Mimi kuuliza which country are from ni baada ya wewe kusema children they are abusing through Catholic Church ukasisitiza "even to our country" kwahyo nikataka kujua ni Taifa ulipo...????

Kama ni Tz nikataka kujua Mkoa gani?Parish...??na nani alikuwa ana abuse...????

Kaka kama haya maswali hayahusiani na kile ulichokuwa nauliza bac nita apologize kwako ila kama yanaendana toka post yako plz come and apologize to me..????
 
Hilo andiko ni la uongo. Soma biblia vizuri...
Duh!
Mbona wakristo mnajichanganya sana, yaani hata Yesu mwenu mmeanza kumpinga wazi wazi.

Mathayo 28:19
(Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu)

Sasa kipi cha ajabu au uongo hapo?
 
Papa anaweza kukosea, anaweza kupingwa na kukosolewa vikali kabisa na wakatoliki wenyewe pasipo woga wowote.
Nafikiri huijui Catechisism of Catholic Church na Canon Laws...

Ili Papa aweze kubadili chichote lazima kwanza aweze kubadili katekisimu, na Canon laws...
Ni jambo gumu...Papa ni Ofisi..

Ni ngumi ni ngumu ni ngumu....haitokas kuja kutoke....Hizi ni stori za mitandaoni....
 
Uko sawa kabisa Mkuu, it is only matter of time. The RC needs to come into 21 century and make effort to stop abuses, especially children abuses. It happens even in our country. But very few people are talking compare to other countries:- He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile
BBC NEWS | Africa | Tanzanian priest molested child

The important thing is not not to be defensive but to change. Martin Luther started reformation 500 years ago (Lutheran Church, Protestant movement). It is high time RC start to reform itself.


Next time learn to read careful what is written before you reply but i wish you well and God Blessings.
 
lililobakia salama katika ukristo katika kukwepa mabadiliko ya ndani. Ukatoliki ulibadilika, unabadilika na utazidi kubadilika.

Endelea kusubiri embe bolibo jangwani...

Pata muda upitie Canon laws na Katekisimu ya Kanisa Katoliki.....
 
Nimejaribu kuzileta hapo karibu ili na wengine wasome..!!

Unajua ukiwa Muongo jitahidi sana kuwa na Kumbukumbu..
 
Back
Top Bottom