Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Ama kweli, dini inapobadili imani na misimamo yake, inatia Shaka mno uhalali wa dini yenyewe.
Usipotoshe umma,papa si kiongozi wa dini bali kiongozi wa mojawapo ya madhehebu ktk dini ya ukristo.Madhehebu yana kanuni na sheria tofautitofauti zinazosimamia na kuwaongoza wumini wao.Hii ipo hata kwenye uislamu ndo maana kuna tofauti kati ya Sunni na Shia.

Kwaiyo acha kupotosha watu kuwa kubadili kanuni kwa wakatoliki ni sawa na kubadili imani ya dini.
 
Ama kweli, dini inapobadili imani na misimamo yake, inatia Shaka mno uhalali wa dini yenyewe.
Kuoa au kutooa kwa mapadre sio imani. Ni taratibu tu ulioamuliwa na kanisa kuwa iwe vema kwa mapadre wasioe ili kulitumikia vema kanisa badala kutumia muda mwingine kuitumikia familia.
 
Aisee waoe tu ila nawaonea huruma sana wana parokia na makanisa yao.Maana sasa watalisha familia ya padri,wakwe zake na ndugu wengine watajazana pale.


Mkuu jambo hili halitafanyika katika staili tu ya kubonyeza button na kila mtu kuanza kuoa. Kanisa Katoliki liko makini sana. Kujikatalia kuoa au kuolewa haikuzuka tu bali kulikuwa na sababu za msingi. Toka mwanzo wa Kanisa mapadri walikuwa wanaoa. Yako mazingira baadaye yalikuja kulazimisha watawa wasioe wala kuolewa. Hata hivyo sio jambo geni katika Kanisa. Wako Mapdri waliopokolewa toka Anglican Church wameendelea kuwa na ndoa zao.

Ninasubiria taarifa rasmi toka vyanzo vya Kanisa. Ninayo access ya matukio yote ya Papa Francis kila siku ila hii stori sijaiona! Hata siku ikitokea watawa kuruhusiwa kwa Kanisa zima kutakuwa na exceptions kadhaa na mahali kadhaa.


Kwa Afrika suala hilo linaweza kuua uinjilishaji kabisa. Waumini hawataweza kuhimili kugharimia mahitaji ya familia zitakazotokana na ndoa hizo. Moja ya sababu ni extended families. Lingine ni ukubwa Wa familia. Waafrika idadi ya watoto inaamuliwa na wanandoa na wala sio sheria. Tatu itabidi watawa walipwe mishahara ili wakae nje ya Parokia na ma-converts. Je,unafikiria mshahara gani utamtosha Padri au mtawa ili akidhi mahitaji ya maisha ya familia yake na wategemezi wake? Na vigezo gani vitatumika kumlipa Padri huyu mshahara ule au huu?

Je, pale Padri mmoja mmoja atakapohitaji kuishi na familia yake maisha fulani hivi ya juu zaidi kwa sababu ya shinikizo la mwanamke au watoto nani atagharimia hilo? Je, sio ndio chanzo cha kujiingiza kwenye biashara na mikopo ya pesa toka benki na kwa waumini? Je, ikitokea hivyo unaziona social problems zitakazoibuka?

Kwa hiyo ni jambo gumu kidogo na sio rahisi kihivyo.
 
Mkuu jambo hili halitafanyika katika staili tu ya kubonyeza button na kila mtu kuanza kuoa. Kanisa Katoliki liko makini sana. Kujikatalia kuoa au kuolewa haikuzuka tu bali kulikuwa na sababu za msingi. Toka mwanzo wa Kanisa mapadri walikuwa wanaoa. Yako mazingira baadaye yalikuja kulazimisha watawa wasioe wala kuolewa. Hata hivyo sio jambo geni katika Kanisa. Wako Mapdri waliopokolewa toka Anglican Church wameendelea kuwa na ndoa zao.

Ninasubiria taarifa rasmi toka vyanzo vya Kanisa. Ninayo access ya matukio yote ya Papa Francis kila siku ila hii stori sijaiona! Hata siku ikitokea watawa kuruhusiwa kwa Kanisa zima kutakuwa na exceptions kadhaa na mahali kadhaa.


Kwa Afrika suala hilo linaweza kuua uinjilishaji kabisa. Waumini hawataweza kuhimili kugharimia mahitaji ya familia zitakazotokana na ndoa hizo. Moja ya sababu ni extended families. Lingine ni ukubwa Wa familia. Waafrika idadi ya watoto inaamuliwa na wanandoa na wala sio sheria. Tatu itabidi watawa walipwe mishahara ili wakae nje ya Parokia na ma-converts. Je,unafikiria mshahara gani utamtosha Padri au mtawa ili akidhi mahitaji ya maisha ya familia yake na wategemezi wake? Na vigezo gani vitatumika kumlipa Padri huyu mshahara ule au huu?

Je, pale Padri mmoja mmoja atakapohitaji kuishi na familia yake maisha fulani hivi ya juu zaidi kwa sababu ya shinikizo la mwanamke au watoto nani atagharimia hilo? Je, sio ndio chanzo cha kujiingiza kwenye biashara na mikopo ya pesa toka benki na kwa waumini? Je, ikitokea hivyo unaziona social problems zitakazoibuka?

Kwa hiyo ni jambo gumu kidogo na sio rahisi kihivyo.
Mkuu kuna mahali hapo naomba ufafanuzi "Kuna Waanglikana walipokelewa na wakaendelea na ndoa zao"

Swali;Walipokelewa wakawa waumini au wakaendelea kuwa Mapadri..???

Ni hapo tuu Mkuu...
 
Kwani wapi sijasoma kwa umakini..???

Nilinukulu maneno yako mwenyewe yanayosema "even to our country"..!!!sasa hapo kuuliza country unayotoka wewe kwasababu:
1.Humu JF kuna watu kutoka mataifa mbalimbali ya East Africa/Africa/Overseas..!!!kwahyo Mimi kuuliza which country are from ni baada ya wewe kusema children they are abusing through Catholic Church ukasisitiza "even to our country" kwahyo nikataka kujua ni Taifa ulipo...????

Kama ni Tz nikataka kujua Mkoa gani?Parish...??na nani alikuwa ana abuse...????

Kaka kama haya maswali hayahusiani na kile ulichokuwa nauliza bac nita apologize kwako ila kama yanaendana toka post yako plz come and apologize to me..????

First of all you keep asking where are you from. I already say even to our country and gave you examples. If you read those examples you would already got answers to your questions.

Second you start to go on about kwani madhehebu mengine na dini nyingine hawana makosa totally different topic. I was not comparing RC with others. Others denominations and Religions also have their problems, some very big problems, but we are discussing this issue ; -Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Third you keep saying this is fake news not true. Instead of just google and find out for yourself.

Hukuona hiyo mifano niyokupa you were trying to make things personnel instead of discussing the topic. Hivi do you think abuses can go in all these other countries and Tanzania ikabaki salama. Ok, check those link below.
BBC NEWS | Africa | Tanzanian priest molested child
He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile
 
My point kwann huwa mnawaangali Makasisi wa Kanisa Katoliki...???

Vp kuhusu wanandoa leo wenye michepuko ya kutosha wkt tayari wameshafanya Maagano na Mungu mbele ya Kanisa....????

Vp hao Wachungaji walioachwa na Luther leo hii tunapishana nao guest houses na wakiwa na wanawake nje ya wake zao....???!

Vp Mashekhe leo wamekuwa wakitanua na wabinti nje ya ndoa zao...???

Kwanini mnalitolea macho Kanisa Katoliki tuu....????
Mkuu labda hujaelewa kinachojadiliwa. Mjadala ni kwamba Papa anaangalia uwezekano wa makasisi wa Katoliki kuruhusiwa kuoa. Sasa unaposema kwa nini tunawaangalia makasisi wa kanisa katoliki kwani sisi ndo papa? Halafu tofautisha tabia ya mtu binafsi na msimsmo wa kanisa. Hapa kinajadiliwa msimamo wa kanisa Katoliki siyo tabia ya mtu binafsi ya uzinzi awe mkristo au mwislamu. Tabia ya mtu binafsi siyo msimamo wa katoliki au msikiti.
 
Awahalalishe tu wabariki ndoa, maana mbona wana wake zao tayari, ila tu ikihalalishwa wataacha kufanya kwa vificho..
 
Yesu hakuoa. He died when he was 33. Hakusema ukitakuwa Padre usioe. Au kama amesema sehemu yoyote nionyeshe.
Yesu yu hai. Usiwachokoze wakristo matusi yakaanza kuvurumishwa bure humu.
 
Mkuu kuna mahali hapo naomba ufafanuzi "Kuna Waanglikana walipokelewa na wakaendelea na ndoa zao"

Swali;Walipokelewa wakawa waumini au wakaendelea kuwa Mapadri..???

Ni hapo tuu Mkuu...

Walipokelewa wakiwa Mapadri na wakaendelea kuwa mapadri. Ni baadhi ya wale waliopinga utamaduni mpya katika dhehebu hilo mashoga kuwa maaskofu na au kupewa daraja ya Kitume. Fuatilia hata Google utaipata.
 
Akitokea Anglican kama Padre alafu aje Katoliki ape Upadre aliokuwa nao Anglican...???

Mmh me ndio naisikia Leo..

Ngoja Otorong'ong'o amalizie lunch akujibu me ngoja nimalizie kazi nikajiandae kwenda ibada ya siku ya Dominica.
Mkuu ipo...sorry inaitwa Personal Ordinariate...na sia Anglican Ordinariate....
Screenshot_20171104-151712.png
 
Awahalalishe tu wabariki ndoa, maana mbona wana wake zao tayari, ila tu ikihalalishwa wataacha kufanya kwa vificho..

Ndio namwambia huyu mtu, ni vizuri hivi Papa anavyotaka kufanya. Kuwapa choice Padres whether to marry or not to marry. Kuna watu wanaoweza kuishi maisha yao yote bila love, sex or intimacy but they are very few, extremely few. Other will do it secretly.

Pope raises prospect of married men becoming priests
A Brazilian pilot project could be extended to regularize the position in Africa, where many Catholic priests already have mistresses and children, Monsignor Canobbio told Il Messaggero. "In Africa a good percentage of priests de facto have a family."
 
Usipotoshe umma,papa si kiongozi wa dini bali kiongozi wa mojawapo ya madhehebu ktk dini ya ukristo.
Usirudie tena huu ujinga ulioandika hapa...

Catholic siyo dhehebu(Denomination) ni dini/kanisa kamili aliloliacha Yesu duniani....
 
Kwani lutheran na wengine wanafanyaje mkuu, mbona kawaida tu wanahudumu na wanajenga familia

Ni sawa hao Lutheran wanasonga mbele lakini umejiuliza kiini cha Valentina Mokiwa kudaiwa kufisadi pesa zilizotokana na investments za miradi ya Dayosisi? Je, unajua wachungaji wangapi wameondoka katika dhehebu hilo ili wakaanzishe ya kwao ili sadaka na zaka ziishie kwao?
 
Yesu yu hai. Usiwachokoze wakristo matusi yakaanza kuvurumishwa bure humu.

I think you know what i mean. His physical life here on earth finish when he was 33. The point is few people can live like how Jesus live throughout their lives.
 
Dah, Imanj kitu kingine kabisa hivi mtu asiruhusowe kuoa wanajua nguvu ya libido hawa?
Au wakiwaza nini kuweka hizi sheria na je ni kweli mtu mwenye afya mujarabu anaweza kuishi 20-50s years bila hii kitu? How
 
Mkuu jambo hili halitafanyika katika staili tu ya kubonyeza button na kila mtu kuanza kuoa. Kanisa Katoliki liko makini sana. Kujikatalia kuoa au kuolewa haikuzuka tu bali kulikuwa na sababu za msingi. Toka mwanzo wa Kanisa mapadri walikuwa wanaoa. Yako mazingira baadaye yalikuja kulazimisha watawa wasioe wala kuolewa. Hata hivyo sio jambo geni katika Kanisa. Wako Mapdri waliopokolewa toka Anglican Church wameendelea kuwa na ndoa zao.

Ninasubiria taarifa rasmi toka vyanzo vya Kanisa. Ninayo access ya matukio yote ya Papa Francis kila siku ila hii stori sijaiona! Hata siku ikitokea watawa kuruhusiwa kwa Kanisa zima kutakuwa na exceptions kadhaa na mahali kadhaa.


Kwa Afrika suala hilo linaweza kuua uinjilishaji kabisa. Waumini hawataweza kuhimili kugharimia mahitaji ya familia zitakazotokana na ndoa hizo. Moja ya sababu ni extended families. Lingine ni ukubwa Wa familia. Waafrika idadi ya watoto inaamuliwa na wanandoa na wala sio sheria. Tatu itabidi watawa walipwe mishahara ili wakae nje ya Parokia na ma-converts. Je,unafikiria mshahara gani utamtosha Padri au mtawa ili akidhi mahitaji ya maisha ya familia yake na wategemezi wake? Na vigezo gani vitatumika kumlipa Padri huyu mshahara ule au huu?

Je, pale Padri mmoja mmoja atakapohitaji kuishi na familia yake maisha fulani hivi ya juu zaidi kwa sababu ya shinikizo la mwanamke au watoto nani atagharimia hilo? Je, sio ndio chanzo cha kujiingiza kwenye biashara na mikopo ya pesa toka benki na kwa waumini? Je, ikitokea hivyo unaziona social problems zitakazoibuka?

Kwa hiyo ni jambo gumu kidogo na sio rahisi kihivyo.
ASIEFANYA KAZI NA ASILE.PADRI NAE AFANYE KAZI ALISHE FAMILIA YAKE NA MKE WAKE.MBONA MASHEKH WA WENZETU WAISLAMU WANAJITEGEMEA NA WANAENDESHA IBADA??
Pia ahame parokiani akapange au kujenga nyumba kama wenzetu mashekh
 
Back
Top Bottom