Nitajie hayo yanayotarajiwa kubadilika...???
Nyinyi watu hamjui mfumo wa Kanisa.....mnachojua ni Propaganda.....
Mkuu;
Mbona huna nia njema?? Kulitetea kanisa katoliki sio kwa namna hiyo. Tusaidie tiririka hapa huo mfumo na jinsi haiwezekani. Tuliaminisha na Papa Pius X, kuwa Galileo Galilei ameenda motoni milele kwa kusema kuwa dunia ni mviringo. Si unakumbuka kuwa ni Papa Yohane Paulo II, ndiye aliyemfungua Galileo na sasa yupo mbinguni?
Je, haiwezekanihuyu Papa Francis naye akateleza ulimi hadi aje Papa mwingine amfungue?