Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,779
Tatizo wanaamini kila wanaloambiwa hawa na viongozi wao. Hao wazungu walijiwekea tu sheria zao huko wakati wanaanzisha hilo.kanisa na wanaujua ukwelo tofauti na hawa wa huku wanaopelekwa pelekwa na ndio maana wameona kuna umuhimu wa kubadilo hii kitu sababu wanajua hata wao hawafanyi dhambi wakibadilo sababu wanajua tangu mwanzo HAKUNA SEHEMU MUNGU ALIKATAA NA NI SHERIA TU ZA KANISA LAO NA NDIO MAANA HATA PAPA KAONA KUNA NAFASI YA KUJADILI.Ukipewa andiko la Biblia,tafadhali naomba unitag. Ni mambo waliyojiwekea RC wenyewe,lakini Biblia haina kitu hicho.
TATIZO RC KANISA(KATEKISTA) KWANZA THEN BIBLIA.