Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Ataondoka yeye akitaka kucheza na Catholic, haitojalisha ni Jesuit. Watamshughulikia Jesuits wenzake.

Upadri ni wito sawa na watawa (masista & mabruda)
 
Duh!
Mbona wakristo mnajichanganya sana, yaani hata Yesu mwenu mmeanza kumpinga wazi wazi.

Mathayo 28:19
(Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu)

Sasa kipi cha ajabu au uongo hapo?
Nimekwambia andiko hilo ni la uongo kisha nimakwambia soma vizuri biblia. Sijakwambia andiko halipo....naomba uelewe...
 
Nafikiri huijui Catechisism of Catholic Church na Canon Laws...

Ili Papa aweze kubadili chichote lazima kwanza aweze kubadili katekisimu, na Canon laws...
Ni jambo gumu...Papa ni Ofisi..

Ni ngumi ni ngumu ni ngumu....haitokas kuja kutoke....Hizi ni stori za mitandaoni....
Mkuu lisemwalo lipo na kama halipo huenda likaja. Kwa sasa siwezi kusema chochote hapa, kwa sababu umesema hizi ni "story za mitandaoni" kitu ambacho binafsi naamini sio story za mitandaoni tu, bali ni mjadala halisi ndani ya Kanisa katoliki ulimwenguni.

Ila kuna jambo moja kubwa muhimu, kama waumini wa kikatoliki wataendelea kukaa kimya chini ya kivuli cha "hizo ni story tu za mitandaoni" wakati wakubwa ndani ya kanisa katoliki wanajadili kufikia huko, basi wakatoliki mtaishia kujuta, wakati ni ukuta, kama hayo mabadiliko waumini hamyataki basi onyesheni hilo wazi wazi ili wakubwa huko juu washtuke na kuogopa.

Ngoja tujipe muda zaidi, muda utatupa majibu mazuri zaidi katika hili.
 
Next time learn to read careful what is written before you reply but i wish you well and God Blessings.
Au pengine hujaelewa ulichoandika..???au ume copy...???hiyo post hapo juu nimeileta karibu ni post #88 toka kwenye hii thread
 
Nimekwambia andiko hilo ni la uongo kisha nimakwambia soma vizuri biblia. Sijakwambia andiko halipo....naomba uelewe...
Mkuu sasa labda na wewe uje na hilo andiko lako la ukweli, maana la kwangu nililonukuu kutoka kwenye biblia umesema ni andiko la uongo.
 
Hoja hii ya Papa sasa inadhihirisha wazi wazi kuwa....

1/Maisha ya kutokuoa ya mapadri wa kikatoliki ni jambo zito sana linalosumbua kanisa katoliki kwa sasa. Hakuna tena ujanja, ni lazima mjadala wake uwepo ndani ya kanisa katoliki.

2/Utaratibu wa mapadri kutokuoa ulikuwa ni utaratibu uliotungwa tu na mapapa waliopita na wala sio msingi wa kiimani katika ukristo.

3/Sio kweli kuwa Ukatoliki ndio ukristo halisi wa kwanza alioishi Yesu na wanafunzi wake bali ni dini iliyotengenezwa kufuata mapokeo ya kitamaduni, mazingira na wakati huku ukipaka paka ukristo juu yake. Kwa sababu kanuni na taratibu zake zimekuwa zikibadilika badilika kila wakati.

4/Dhehebu la Kikatoliki sio dhehebu pekee lililobakia salama katika ukristo katika kukwepa mabadiliko ya ndani. Ukatoliki ulibadilika, unabadilika na utazidi kubadilika.

5/Papa ni kiongozi wa kawaida wa kidini hapa duniani, hana Upekee wa kimungu, anaweza kushawishiwa na watu, anatumia Akili za kawaida za kibinadamu katika kufikiri, kuongea na kuamua, Papa anaweza kukosea, anaweza kupingwa na kukosolewa vikali kabisa na wakatoliki wenyewe pasipo woga wowote.
Tatizo hilo la mwisho wanaamini akitoka Yesu then Papa. Na akifunga Papa basi na Mungu kafunga
 
Nafikiri huijui Catechisism of Catholic Church na Canon Laws...

Ili Papa aweze kubadili chichote lazima kwanza aweze kubadili katekisimu, na Canon laws...
Ni jambo gumu...Papa ni Ofisi..

Ni ngumi ni ngumu ni ngumu....haitokas kuja kutoke....Hizi ni stori za mitandaoni....
Kwenu katekisimu ina nguvu kuliko papa. Kipingi kile mnanunua cheti cha toba kwa pesa then martin akajitoa si ilikuwa ni sheria za kanisa au za mungu?? Na je si mlitetea kuwa zilikuwa za mungu kwa vifungu na kwamba neno la mungu halibadilishwi!! Kipi kilichofanya mkaja baadae mkaondoa huo utaratibu....Katekisimu ilibadilishwa???
 
Kwa wakatiliki KATEKISIMU >BIBLIA.....NI Rahisi kubadili Biblia kuliko Katekesimu
 
Endelea kusubiria dodo kwenye jangwa..

Mkuu;
Nakujua wewe ni mkatoliki swafi sana ila unaponiambia kuwa niendelee kusubiri dodo jangwani ina maana kuwa; Japo si rahisi hiyo sheria au kanuni kubadilishwa, huenda siku moja ikabadilika?? Au unamaana kuwa hao masista hawatakaa waolewe na kuendelea na utawa wao?? Mkuu, elewa kuwa, niaka 20 tu iliyopita, Padre kuwa na wazo la kuoa ilikuwa ni dhambi. Kuwa na hilo wazo tu. Nawafaham waliotengwa kabisa na hata walipokufa wakaja kuzikwa kwao. Njoo nikupeleke ukaone kaburi lake. Sasa leo Papa analeta wazo hili. Huoni kuwa aligundua kuwa hii ni kanunu tu ya chama flani wala sio amri ya Mungu? Yapo mengi tu yanabadilika na hili nalo litabadilika. Nadhani tunaelekea kwenye Reformed RC.
 
Njoo nikupeleke ukaone kaburi lake. Sasa leo Papa analeta wazo hili.
Leta hiyo source ya habari inayoonesha pope kaleta wazo...hakuna...Usifikiri papa anaweza toa kauli sensitive kiasi hicho akaachwa....Papa ni Ofisi....

Hata Homily(Mahubiri) ya Jumapili anayota yeye lazima yawe kwaandishi na yapitiwe....yote hayo ni kuepusha kutoa kauli za matakwa yake ambazo zitalibomoa dunia! Yes! Dunia..sio kanisa....

Kauli moja ya Papa yenye ishu sensitive inauwezo wa kuibadili dunia....

Kanisa katoliki papa akitaka kutoa kauli juu ya Jambo fulani la kiimani au maslai ya Kanisa kuna kitu inaitwa encylicle imayosambazwa duniani kote...mbali na hapo ni uzushi na uzandiki kupima upepo
 
Yapo mengi tu yanabadilika na hili nalo litabadilika. Nadhani tunaelekea kwenye Reformed RC.
Nitajie hayo yanayotarajiwa kubadilika...???

Nyinyi watu hamjui mfumo wa Kanisa.....mnachojua ni Propaganda.....
 
Leta hiyo source ya habari inayoonesha pope kaleta wazo...hakuna...Usifikiri papa anaweza toa kauli sensitive kiasi hicho akaachwa....Papa ni Ofisi....

Hata Homily(Mahubiri) ya Jumapili anayota yeye lazima yawe kwaandishi na yapitiwe....yote hayo ni kuepusha kutoa kauli za matakwa yake ambazo zitalibomoa dunia! Yes! Dunia..sio kanisa....

Kauli moja ya Papa yenye ishu sensitive inauwezo wa kuibadili dunia....

Kanisa katoliki papa akitaka kutoa kauli juu ya Jambo fulani la kiimani au maslai ya Kanisa kuna kitu inaitwa encylicle imayosambazwa duniani kote...mbali na hapo ni uzushi na uzandiki kupima upepo

Ndio maana mkuu nikasema; Najua kuwa wewe ni mkatoliki mzuri tuu. Haya unayajua ila nadhani hii fununu ilitokea kwake pia baada ya kutembelea Amerika ya kusini. Je, wajua kuwa kuna kikundi kinaitwa American Fathers?? Unajua hawa wameoa?
 
Mkuu;
Nakujua wewe ni mkatoliki swafi sana ila unaponiambia kuwa niendelee kusubiri dodo jangwani ina maana kuwa; Japo si rahisi hiyo sheria au kanuni kubadilishwa, huenda siku moja ikabadilika?? Au unamaana kuwa hao masista hawatakaa waolewe na kuendelea na utawa wao?? Mkuu, elewa kuwa, niaka 20 tu iliyopita, Padre kuwa na wazo la kuoa ilikuwa ni dhambi. Kuwa na hilo wazo tu. Nawafaham waliotengwa kabisa na hata walipokufa wakaja kuzikwa kwao. Njoo nikupeleke ukaone kaburi lake. Sasa leo Papa analeta wazo hili. Huoni kuwa aligundua kuwa hii ni kanunu tu ya chama flani wala sio amri ya Mungu? Yapo mengi tu yanabadilika na hili nalo litabadilika. Nadhani tunaelekea kwenye Reformed RC.

Hapana, mawazo ya kuoa yamekuwapo from time immemorial! Ndio maana kuwa walutheri, waprotestant walio amua kuoa wakajitenga. Na hawa watajitenga waoe lakini si kuwa ndani ya utumishi wa daraja la upadre na wake!

Msichanganye, kuna mapadre waliioa lakini hao walikuwa wa anglican huko ulaya, walipobariki ushoga wakaamua kutoka na kuja Roma na familia zao na wakakubalika maana walikuwa wamejitoa kumtumikia Mungu. Walikubaliwa na hali zao. Ukitaka mfano nitakupa inbox
 
Back
Top Bottom