Papa afikiria kuruhusu mapadri waoe

Hoja dhaifu sana. Unaweza kutumikia kanisa kama katekista au nafasi zingine zisizo na kizuizi cha kuoa.......sio lazima uwe Padre.
 
nitashangaa sana na hili haliwezi kutokea, anayeshindwa mashariti anayo ruhusa ya kuacha upadre na kuoa, kwa nini wanataka vyote? isitoshe hata wakiruhusiwa kuoa si kwamba ndo hawatatenda dhambi, kuna watu wana ndoa na bado wanatoka nje ya ndoa zao.
Kwa mwanaume amayekula chakula vyenye virutubisho protein ,carbohydrates, vitamins ,fat miezi 2 tu kama shahawa hazijatolewa anawehuka na nyege hapo sijakuambia miaka

Hiyo kusema waliooa hao wanapenda na kujitakia tu lkn wapo wengi sana hawajawahi kuchepuka maishani yao..hii point usii crush sababu huwezi kupigana na maumbile na shahawa ikizidi lazima zipunguzwe sabb zikibaki mtu huwehuka na kuweza kufanya mambo ambayo yatashangaza ulimwengu ,aliye na mke ana asilimia kubwa kuwa mcha mungu kuliko asiye na mke
 
Labda na masista wataruhusiwa?

Wote waruhusiwe Sisters and Brothers, you can not go against human nature. The need for intimacy, sex and love is universal. If you stop it you are creating problems, because they will still do, but in secret, against the youngs and people under their charges.

In the end it will kill the RC church, nobody with right mind will allow their children to go to church, join choir or spend too much time with leaders of the church. Knowing that the chance of their children being corrupted is extremely high.
 
Sadaka na zaka zitashuka sana kama sio kutokuwepo kabisa na hao mapadri kutakiwa kuwa na vipato vyao wenyewe kama madiwani.

Kwani wakati ule wanaoa ilikuwaje?

Mkuu mbona Church Of England (Anglican Church) and Lutheran church allowed their Ministers, Priests and Pastors to marry.
 
Kwa mwanaume amayekula chakula vyenye virutubisho protein ,carbohydrates, vitamins ,fat miezi 2 tu kama shahawa hazijatolewa anawehuka na nyege hapo sijakuambia miaka

Hiyo kusema waliooa hao wanapenda na kujitakia tu lkn wapo wengi sana hawajawahi kuchepuka maishani yao..hii point usii crush sababu huwezi kupigana na maumbile na shahawa ikizidi lazima zipunguzwe sabb zikibaki mtu huwehuka na kuweza kufanya mambo ambayo yatashangaza ulimwengu ,aliye na mke ana asilimia kubwa kuwa mcha mungu kuliko asiye na mke
Shahawa zikijaa huwa zinatoka by natural means kama vile usingizini nk
 
Mi nadhani Kama Mtu anachagua kuwa Padri wa Kanisa Katoliki Kwanini Kusimika Upadri kusiende sambamba na kutokomeza uwezo wake wa kupata Nyege ili kumuondolea Majaribu na Maumivu?

Kwa mfano si wangewafanya wawe Impotent ili waweze kutumikia vizuri kanuni zao?

Kama huruhusiwi kujamiiana maana yake kazi ya Uchi ibaki kutolea uchafu tu mwilini
 
Mkuu other Christians denominations do allow their Pastors to marry and they are still going strong, infact growing at faster rate than Roman Catholics Church (RC). It will actually help them to relate with other families better.
Nani kakudanganya??
 
d5a65776a3fdb0eb3e2d22f7da4406fa.jpg
 
Hivi huwa mnaruhusu kitabu chenye maneno ya Mungu kubadilishwa namna hii? Kwahiyo mtuambie Mstari wa ngapi, kwenye Biblia neno la Mungu litabadilika ili tuanze kukariri mapema!
 
Ukishaonja nyama ya MTU huwezi kuacha... In Nyerere's voice.
Ndio hawa pia wakiruhusiwa mmoja wataenda 2 kisha 3 ghafla tumefanana nao (4×4).
 
View attachment 623282

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amependekeza kubadili mfumo wa utumishi wa mapadre akisema itakuwa vyema iwapo makasisi hao wakaruhusiwa kuanza kuoa.

Hata hivyo, imefahamika kuwa pengine pendekezo hilo likawaruhusu mapadre wa Brazil pekee kutokana na mjadala unaoendelea nchini humo. Hivi karibuni Askofu wa Brazil, Kadinali Claudio Hummes alimwomba Papa Francis kufikiria kuondoa sheria inayowakataza makasisi kufunga ndoa.

Ingawa pendekezo hilo la Papa Francis huenda likapunguza tatizo la uhaba wa wanaume wanaojiunga kwenye utumishi huo, lakini linatarajiwa kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa waumini wenye msimamo mkali na hata pia kusababisha mgawanyiko ndani ya kanisa.

Ombi hilo linatarajiwa kujadiliwa katika kikao cha baraza la kanisa kinachotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu nchini Brazil.

Kanisa Katoliki linahubiri mafundisho ambayo yanapiga marufuku makasisi wake kufunga ndoa ingawa kumekuwa na baadhi wanaovunja mwiko huo na kuisha maisha ya ndoa. Hata hivyo, wale wanaochukua uamuzi huo hujitenga na kanisa.

Kasisi moja aliyetambulika kwa jina la Paddy O’Kane amenukuliwa na baadhi ya magazeti akielezea uwezekano wa Papa Francis kuchukua uamuzi wa kuwafungulia mapadre kifungo cha kutokua wakati wowote mwezi huu.

“Hivi karibuni nilimsikia Papa anataka kutekeleza ombi alilolipata toka Brazil kama jaribio lake la kwanza,” alisema.

Papa Francis na mtangulizi wake, Benedict XVI wamekuwa wakieleza kuwa suala la makasisi kutoruhusiwa kuoa siyo jambo lisiloweza kubadilika na kwamba jambo hilo linajadilika.

Chanzo: Mwananchi

Sikutaka kuchangia lakini nimewiwa baada ya kujiuliza maswali kwamba Papa anapendekeza,kwa hiyo jambo hilo liliamuliwa tu kwa matakwa ya kibinadam na siyo SHARTI la MAAGIZO ya Mungu au tuseme andiko la Biblia.

Kwa namna moja inafikirisha sana mambo kama haya ambayo ni utashi wa watu na siyo maagizo ndani ya Biblia.
 
Ni wazo zuri, wawe wanaruhusiwa kuoa au kutokuoa. These choices should be available them. It will reduce or stop many serious problems like secrets affairs with other people wives, Pedophilia activities, sodomy and rapes etc.
kwani masister hawapo parokiani siku hizi!?
 
Back
Top Bottom