Japo watu wanaweza rushiana ngumi ila this would be soooo nice.Kama nchi naamini we really need it.,

Pascal Mayalla tusaidie Mkuu kwani lazima iratibiwe na NEC?...kama kuna uwezekano wa independent body/person kuifanya itanoga mnooo

nakumbuka debates za US na UK zinavyokuwaga motoo
 
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
Mdaharo Uwe wa kingereza

Mataga njoo huku mpinge Mdaharo,

Nyie mataga si Mna stiglers, sgr, flyover, bombardier mnaogopa Nini?
 
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.

Nawasilisha.

View attachment 1527961

View attachment 1527962

View attachment 1527963
Kuna mmoja hapo atakimbia walah nakwambia mkuu
 
1. Hamna haja wala umuhimuwa mdjadala, kwakua hamna la kujadili, Rais Mgufuli aliyoyafanya katik utawala wake yanaonekana na kila mtu, wala haitaji kushawishi umma juuya ubora wa uongozi wake.

2. Rais Magufuli anaweza asiwe muongeaji mzuri, na pia anaweza asiwe mwanasiasa bora, lakini ameonesha kwamba yeye ni kiongozi bora sana. Tanzania inahitaji kiongozi bora, na wala hatuhitaji mwanasiasa bora. JPM ni mtekelezaji kwa vitendo, mara nyingi wale ambao wameonekana kuwa ni waongeaji sana wamekua wakifeli kwenye utendaji.

3. Uchaguzi huu ni mwepesi sana, JPM atashinda kwa kura nyingi sana, tena mapema sana.

Uoga wa nini? nenda masaa mawili tu ongea na Watanzania! mnasema Tanzania tunataka iwe kama Ulaya wakati viongozi waoga hata kuongea. Uraisi wa kifalme lakini kwenda mbele ya Watanzania kusema na kulinganisha hoja kwa hoja imekuwa woga. Wewe ndiyo ungetakiwa kumshauri aende kusema aliyofanya mengi!!!!
 
Kwanini kusiwepo na mdahalo wa saa 8 kwa wagombea wote wa kiti cha uraisi maana najua JPM anavitu vya kuongelea ndani ya miaka yake mitano kama Raisi, na wengine watasema wanataka kuchaguliwa ili iweje?.
Kwa mmoja wa wagombea Mdaharo utaishia kwenye self introduction, "PhD in ze mafuta of korosho"
 
Watu uwezo wanao sema shida ni kwamba wameminywa hawana uhuru wowote kwenye nchi yetu ukitaka jua hilo angalia mchakato wa Urais vyombo vya habari vinavyopendelea.
Nani ata u moderate huo mdahalo? Sijaona chombo chochote cha habari chenye huo uwezo
 
Wakuu naona sasa imeshakubalika mdaHalo lazma uwepo na ni full kimombo mwanzo mwisho, hamna mambo ya kuchanganya kimangati wala cjui kimasai, kisukuma
 
Wakuu naona sasa imeshakubalika mdaHalo lazma uwepo na ni full kimombo mwanzo mwisho, hamna mambo ya kuchanganya kimangati wala cjui kimasai, kisukuma
Kwanini kimombo? Wapiga kura hawakijui kimombo kwanini utumie lugha ambayo hata wewe mwenyewe labda huijui vizuri. Binafsi nimeishi nchi ya waingereza zaidi ya chaguzi 7 sijawasikia wakifanya mdahalo kwa kijerumani
 
Back
Top Bottom