Usiseme wapinzani; sema ACT na CHADEMA hawana msimamo thabiti kuhusu nini wanataka.Kila chama kifanye kampeni kwa Style yao. Hata upinzani haina msimamo thabiti kuhusu nini wanataka
Usiseme wapinzani; sema ACT na CHADEMA hawana msimamo thabiti kuhusu nini wanataka.Kila chama kifanye kampeni kwa Style yao. Hata upinzani haina msimamo thabiti kuhusu nini wanataka
Kenya kumbe walifanya 2013
Mdaharo Uwe wa kingerezaWakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.
Nawasilisha.
View attachment 1527961
View attachment 1527962
View attachment 1527963
Hasira za Nini ? We Mataga?Kila chama kifanye kampeni kwa Style yao. Hata upinzani haina msimamo thabiti kuhusu nini wanataka
Kuna mmoja hapo atakimbia walah nakwambia mkuuWakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.
Nawasilisha.
View attachment 1527961
View attachment 1527962
View attachment 1527963
1. Hamna haja wala umuhimuwa mdjadala, kwakua hamna la kujadili, Rais Mgufuli aliyoyafanya katik utawala wake yanaonekana na kila mtu, wala haitaji kushawishi umma juuya ubora wa uongozi wake.
2. Rais Magufuli anaweza asiwe muongeaji mzuri, na pia anaweza asiwe mwanasiasa bora, lakini ameonesha kwamba yeye ni kiongozi bora sana. Tanzania inahitaji kiongozi bora, na wala hatuhitaji mwanasiasa bora. JPM ni mtekelezaji kwa vitendo, mara nyingi wale ambao wameonekana kuwa ni waongeaji sana wamekua wakifeli kwenye utendaji.
3. Uchaguzi huu ni mwepesi sana, JPM atashinda kwa kura nyingi sana, tena mapema sana.
Kwa mmoja wa wagombea Mdaharo utaishia kwenye self introduction, "PhD in ze mafuta of korosho"Kwanini kusiwepo na mdahalo wa saa 8 kwa wagombea wote wa kiti cha uraisi maana najua JPM anavitu vya kuongelea ndani ya miaka yake mitano kama Raisi, na wengine watasema wanataka kuchaguliwa ili iweje?.
Nani ata u moderate huo mdahalo? Sijaona chombo chochote cha habari chenye huo uwezoAnamaanisha mdahalo
Nani ata u moderate huo mdahalo? Sijaona chombo chochote cha habari chenye huo uwezo
Nchi gani uliona mdahaloIngekuwa ni issue simple basi wasingekuwa wanaikimbia midahalo kila chaguzi.
Anatumia nguvu nyingi kwa kila jambo. Mfano kununua kuku kwa laki moja.jiwe uwezo mdogo sana wa kujenga hoj
eti ananua muhindi kimaigizo,hadi hurumaAnatumia nguvu nyingi kwa kila jambo. Mfano kununua kuku kwa laki moja.
Kwanini kimombo? Wapiga kura hawakijui kimombo kwanini utumie lugha ambayo hata wewe mwenyewe labda huijui vizuri. Binafsi nimeishi nchi ya waingereza zaidi ya chaguzi 7 sijawasikia wakifanya mdahalo kwa kijerumaniWakuu naona sasa imeshakubalika mdaHalo lazma uwepo na ni full kimombo mwanzo mwisho, hamna mambo ya kuchanganya kimangati wala cjui kimasai, kisukuma