ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Mdahalo wa nini wakati mshindi anajulikana...........mnaanza tena mambo ya debate za shule ya msingi education is better than money.....
Mdahalo wa nini wakati mshindi anajulikana...........mnaanza tena mambo ya debate za shule ya msingi education is better than money.....
Anaweza kupanic katikati ya mdahalo akaishia kusema wewe unanibishia mimi???? HiiiiiiiiiiiiiiiiSio tu yeye mwenyewe, hata chama chake cha MCC, vile wanamjua alivyo, hawawezi kumkubalia ahudhurie
Jiwe hata akiwa Peke yake hawezi Kujieleza Sembuse Mdahalo?Nashauri tu kuwa mwaka huu kabla ya kuanza kuzunguka kufanya Kampeni kuwepo mdahalo kwa wagombea wakuu watatu.
Dr. John Pombe Magufuli aelezee mambo makuu aliyowatendea watanzania na mipango yake ya mbeleni.na lengo lake la kutaka kupanua zaidi. Huyu ni mgombea ambaye anapenda kuongea ila hajui aongee nini.
Tundu Antipas Lissu aelezee wapi aliposhindwa Magufuli na nini yeye ana mpango wa kuwafanyia watanzania.huyu ni mgombea mwenye sifa ya kuwa machachari na wakati mwingine anakimbia hadi kupitiliza kwao.
Bernard Camilius Membe aeleze wapi aliposgindwa Magufuli na nini yeye ana mpango wa kuwafanyiwa watanzania. huyu ni mgombea ambaye ana sifa za kuwa jasusi.amekosa mvuto kisiasa pamoja na jaribio la kumpamba sana.kifupi amepoa kama mate /udenda wa mgonjwa wa asubuhi.
Wawekwe hapo masaa mawili Taifa liwasikilize baada ya hapo kipyenga kipulizwe tukutane nao mitaani.
Hata akifika atakimbiaJinsi Lissu anavyokandia mandege na uwanja wa chato Jiwe hawezi kufika kwenye mdahalo.
Kwanini mnalazimisha JPM akutane na mpayukaji? Hamwamini Lissu Hadi afanye mdahalo na JPM? Huko ughaibuni miaka yote hajafanya midahalo mkaridhika tu.?Jinsi Lissu anavyokandia mandege na uwanja wa chato Jiwe hawezi kufika kwenye mdahalo.
Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.
Nawasilisha.
View attachment 1527961
View attachment 1527962
View attachment 1527963
JPM akijibu swali langu nampigia kura yangu kwanini Serekali ilijiondoa kwenye Mkataba wa kuendesha Mambo yake kwa uwazi?Wakuu habari za jioni poleni kwa kutafuta na mihangaiko ya kutwa nzima. Mimi sina mengi ila nina imani humu kuna watumishi wa tume ya uchaguzi basi wafikishe salamu hizi, tunaomba mdahalo wa wagombea wote watakaoteuliwa kugombe Urais kuanzia, CCM, CHADEMA , ACT - Wazalendo nk ili tuwapime kwa hoja zao tuulize maswali yetu wakiwa pamoja kwenye ukumbi mmoja tupate mgombea ambaye ni cream ili wanachi tuchague Rais makini ambaye atatavusha kwenye umaskini tulionao na kuweka sera zinazotekelezeka kwa weledi na maarifa yaliyotukuka.
Nawasilisha.
View attachment 1527961
View attachment 1527962
View attachment 1527963