Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Akina nani awabariki,, wengine hawastaili kubarikiwa??Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Wapinzani wenyewe hawasomeki , ndo chanzo kikubwa cha kuchochea makundi ,pambaneni na Hali zenu
Acha uchawiMungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kamanda unachosha kwa kubandika threads zenye maudhui yale yale mitandaoni kila siku.Nani asiye na habari ya mizunguko ya akina Chongolo au Shaka nchi nzima, wakikusanyika na kufanya siasa bila kubughudhiwa?
View attachment 2025817
Vipi hii kuwahusu hawa wengine?
View attachment 2025819
Bado Rais Samia na serikali nzima wangependa kuaminika kuwa haki na usawa ni agenda zao pia?
Upinzani ni lege lege!Acha uchawi
ulichoandika hata wazazi wako wakisoma watakutema mate. Jifunze kushughulisha ubongo wako.Wapinzani wenyewe hawasomeki , ndo chanzo kikubwa cha kuchochea makundi ,pambaneni na Hali zenu
Upinzani ni lege lege!
Ccm walisha rogwa kitamboNani asiye na habari ya mizunguko ya akina Chongolo au Shaka nchi nzima, wakikusanyika na kufanya siasa bila kubughudhiwa?
View attachment 2025817
Vipi hii kuwahusu hawa wengine?
View attachment 2025819
Bado Rais Samia na serikali nzima wangependa kuaminika kuwa haki na usawa ni agenda zao pia?
Jadilini thread hii utupe mchango wako hapa bwashee acha Ku skip!!!Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Umevurugwa tu weweMungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kazi yao ni kupinga kukosolewa
Tuiwachie corona ifanye yasiyowezekana kwa mwanadamuAkina nani awabariki,, wengine hawastaili kubarikiwa??
Corona inawezaWapinzani wenyewe hawasomeki , ndo chanzo kikubwa cha kuchochea makundi ,pambaneni na Hali zenu
Dah! pole sana CHADEMA ipo siku mtatamba na nyie sema msijelipa kisasi