Ombi la kikao CHADEMA lakataliwa kutokana na tishio la Ugaidi

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,232
35,151
Nani asiye na habari ya mizunguko ya akina Chongolo au Shaka nchi nzima, wakikusanyika na kufanya siasa bila kubughudhiwa?

IMG_20211128_081844_083.jpg


Vipi hii kuwahusu hawa wengine?

IMG_20211128_070909_982.jpg


Bado Rais Samia na serikali nzima wangependa kuaminika kuwa haki na usawa ni agenda zao pia?
 
Wapinzani wenyewe hawasomeki , ndo chanzo kikubwa cha kuchochea makundi ,pambaneni na Hali zenu
 
Nani asiye na habari ya mizunguko ya akina Chongolo au Shaka nchi nzima, wakikusanyika na kufanya siasa bila kubughudhiwa?

View attachment 2025817

Vipi hii kuwahusu hawa wengine?

View attachment 2025819

Bado Rais Samia na serikali nzima wangependa kuaminika kuwa haki na usawa ni agenda zao pia?
Kamanda unachosha kwa kubandika threads zenye maudhui yale yale mitandaoni kila siku.

Ingia barabarani uandamane.
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom