Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,420
Kauli hii kabambe imetolewa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama hicho , John Heche , Jijini Mwanza , kwenye Mkutano Mkubwa wa Hadhara wa Siku ya vijana Duniani , iliyochanganyika na Oparesheni 255 .
Imedaiwa kwenye Mkutano huo kwamba , kuna Njama zilizopangwa na Jeshi la Polisi la Tanzania kuwakamata watu wote wanaopinga Mkataba wa Aibu wa Bandari na DP WORLD ya Dubai , na kuwasingizia kesi za uongo za Ugaidi na Uhaini ( zingatia kauli ya IGP Wambura na kukamatwa kwa Mwabukusi na wenzake )
Chadema imewahakikishia Polisi kwamba haina , wala haijawahi kuwa na mawazo , uzoefu wala matendo ya kupindua serikali ya Samia wala yoyote ile kwa njia ya uhaini , Chadema inaamini kwenye Demokrasia , haki na Usawa , na wana uhakika kwamba baada ya Katiba Mpya , itamng'oa Samia asubuhi na Mapema kwenye Uchaguzi .
Imedaiwa kwenye Mkutano huo kwamba , kuna Njama zilizopangwa na Jeshi la Polisi la Tanzania kuwakamata watu wote wanaopinga Mkataba wa Aibu wa Bandari na DP WORLD ya Dubai , na kuwasingizia kesi za uongo za Ugaidi na Uhaini ( zingatia kauli ya IGP Wambura na kukamatwa kwa Mwabukusi na wenzake )
Chadema imewahakikishia Polisi kwamba haina , wala haijawahi kuwa na mawazo , uzoefu wala matendo ya kupindua serikali ya Samia wala yoyote ile kwa njia ya uhaini , Chadema inaamini kwenye Demokrasia , haki na Usawa , na wana uhakika kwamba baada ya Katiba Mpya , itamng'oa Samia asubuhi na Mapema kwenye Uchaguzi .