Unajua katika hii safari ninaona mambo mengi sana, ninaona kundi kubwa maofisa wa bongo, wakisafiri back and forth wanachanja mapesa ya taifa hili kama vile wiki ijayo ni mwisho wa dunia, so pathetic kwamba Secret Service mmoja mweusi aliniita pembeni na kuniuliza, how rich is your counrty bro?
Ni ka mwambia I wish I could tell you the truth, aliponiangalia usoni tu alijua kuwa sikufurahishwa na lile swali, akaniuliza kuwa yeye na mkewe the night before wamekuwa wakijiuliza sana kuhusu mtizamo wetu wa wa-Afrika na political standing ya Jaluo, nikamwambia kuwa wengi tunamuunga mkono sana, lakini tusingependa kuwaonyesha wazungu wa US kwa sababu wasije wakakosa kumpigia kura, ila siku Jaluo atakapopata urais ndio wataziona our true colors! Mkulu alifurahi sana,
Now backo to the point, hivi hii serikali exactly wanachofanya ni nini? State Department wamepiga kelele mpaka wamechoka na kuhusu kuja na makundi makubwa ya wajumbe wa msafara wa rais, yaani watu ni wengi mpaka hotel haitoshi! Mpaka nafasi za ndege hazitoshi, imebidi wakulu wengine wasafiri kwa treni, wiki tatu zilizopita rais alikuwa DC, leo anarudi tena kutafuta nini?
Wakuu humu mote ni hela za walipa kodi zinachomwa kama makaratasi, for what hasa? Jana nimeona mabasi mengi sana New York yamepambwa na ads kuhusu Tanzania na utalii, swali la kujiuliza ni who is paying for?
Yaani Mungu Atunusuru tu na mabalaa hili Taifa!